Kati ya Matibabu, Intaneti na Elimu ya Msingi hadi Chuo, huduma ipi unadhani inapaswa kupatikana Bure?

Kati ya Matibabu, Intaneti na Elimu ya Msingi hadi Chuo, huduma ipi unadhani inapaswa kupatikana Bure?

Kati ya Matibabu, Intaneti na Elimu, huduma ipi unadhani inapaswa kupatikana Bure

  • Matibabu

  • Intaneti

  • Elimu ya Msingi hadi Chuo Kikuu


Results are only viewable after voting.

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kuna huduma muhimu zinapaswa kupatikana kwa gharama ndogo sana kwasababu ya unyeti wake na athari zake kwa Nchi na Uchumi. Mfano huduma ya Intaneti, Matibabu na Elimu kwa ujumla wake. Hizi huduma zilipaswa kuwa zinagharamiwa na Serikali kwa asilimia kubwa sana kupitia rasilimali za nchi.

Mfano kwako, unadhani huduma ipi ilipaswa kupatika bila malipo?
 
MATIBABU nimeandika mwandiko wa kuonesha msisitizo
 
Hapo kwenye bure ungeweka gharama nafuu mkuu.
 
Internet
Ila kwa matibabu bure kutakua hamna cha maana....
 
Saizi serikali imelala walimu wanawachangisha wazazi alfu 5 kila mwezi sekondari eti madarasa yenye mitihani. Wanawashikilia watt mpaka saa 12 wanashinda njaa. Yaani wanacheki maslahi yao hawajui kuwa watt wanatakiwa wale, wapumzike na wafikirie walichofundishwa. Sema na dokta akaruhusiwa kufanya private service kwa hospital za serikali
 
Back
Top Bottom