Kati ya Millard Ayo na Dijaro Arungu, Nani Radio Presenter mkali?

K.hewa

Senior Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
165
Reaction score
33
Hallo wandugu nimepita kijiwe flani nimekuta watu wanabishana eti kati ya dijaro arungu wa tbc fm na millard ayo wa clouds fm nani mkali kama radio presenter mm binafsi nikaona ni millard mkali.. Je ww unaonaje
 
Hallo wandugu nimepita kijiwe flani nimekuta watu wanabishana eti kati ya dijaro arungu wa tbc fm na millard ayo wa clouds fm nani mkali kama radio presenter mm binafsi nikaona ni millard mkali.. Je ww unaonaje

kwanini useme Millardayo mkali???
 
Hallo wandugu nimepita kijiwe flani nimekuta watu wanabishana eti kati ya dijaro arungu wa tbc fm na millard ayo wa clouds fm nani mkali kama radio presenter mm binafsi nikaona ni millard mkali.. Je ww unaonaje

Arungu mkali sana
 
Ah Millard ayo yupo juu n mkali talented n ana maendeleo ana miliki studio yke right now anajua nini anachofanya
 
Kwani mtu anayetoka Burundi ndio hana haki ya kujua hao watajwa?

ungekua mtanzania ungewajua.. Kama unaijua tbc lazima utamjua dijaro nakama unaijua clouds fm lazima umjue millard ayo kwann ww unatoka kijiji gani samahani lakini?
 
Nahisi we unaishi mikoa ya mipakani ambako radio za kijanja hazifiki ndo maana unawajua hao mandezi na mpk unawashindanisha,anyway wote ni mambulula tu
 
Kwa hiyo unadhani Watanzania wote wanaishi Tanzania au wamezaliwa Tanzania?

Unajua JF inasomwa dunia nzima?

Hivi mtu kuandika kwa lugha ya Kiswahili hapa JF maana yake mtu huyo ni Mtanzania?
Angalia wewe mwenyewe umeandika kitu ambacho ni 'conditional'...

Ina maana kama mtu haijui TBC au CLOUDS maana yake hawajui hao watajwa...

Na kuijua TBC FM au CLOUDS FM si lazima kila mtu avijue hivyo vituo vya redio...

ungekua mtanzania ungewajua.. Kama unaijua tbc lazima utamjua dijaro nakama unaijua clouds fm lazima umjue millard ayo kwann ww unatoka kijiji gani samahani lakini?
 

ok nimekuelewa haya ww upo mkoa/nchi gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…