The Orginals
Member
- May 4, 2015
- 88
- 21
mmmh hapo mtakua mnafananisha mbezi beach na tandale japo wote ni watangazaji wazuri ukiachia mbali elimu kiasi flan Millard Ayo yuko vizuri kiutangazaji pia ubunifu pia jamaa ana feel proud kua na kazi aliyonayo..so Ayo iz great!!