Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee! Kipipa alikuwa na tatizo la ini?!Mmoja awekewe sanamu akishika gilasi la pombe na ini-na mwingine awekewe buldozer na moyo au kama inawapendeza- kirusi cha covid.
Hivyo ndivyo ilipaswa kuwa lakini sivyo ilivyo, ni ngumu sana kwetu binadamu!!Aisee!!, kwani kumbukizi (Anniversary) ina maana gani??
Ni lazima mtu afe ndipo ifanywe kumbukizi??,--- kumbukizi ni kuangalia mchango wa mtu katika jambo fulani jema alilolifanya ili tujifunze kwayo, ama awe hai au mfu haidhuru, tena akiwa hai ndio vyema kwani mnaweza kumualika naye akashiriki isitoshe hiyo itaonyesha appreciation yetu kwake kwa jambo alilofanya.
Mkapa ndo aliyemwibua Magufuli hivyo mkapa ndo mwamba wa nchi hii kwenye uchumi.Kwa Bahati wengine mpaka sasa kwa sehemu tumebahatika kuona Marais wote baada ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kung'atuka madarakani. Wengine tumepata bahati kufanya uchaguzi kuanzia enzi Mwinyi akiwa Madarakani.
Kati ya Marais walioingia madarakani baada ya Mwalimu Kung'atuka yaani Ally Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli, wawili kati yao wameshatangulia mbele ya haki. Benjamin Mkapa na John Pombe Magufuli.
Mkapa na Magufuli kila mmoja waliingia madarakani nchi ikiwa kwenye hitaji la kufanya mabadiliko ya kijamii na kiuchumi. Mkapa alikuwa ni Rais wa Kwanza kuchaguliwa baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995. Na Mkapa aliingia wakati nchi yetu inatoka kwenye mfumo wa njia kuu za uchumi kumilikiwa na dola kwenda kumilikiwa na sekta binafsi.
Magufuli aliingia madarakani wakati Tanzania ikwa na hitaji kubwa la kufanya mabadiliko ya udhibiti wa matumizi ya madarakani ya umma kwa maslahi binafsi. Magufuli aliingia wakati ilikuwa inaonekana kama vile ukiwa na madaraka unakuwa na nguvu isiyohojika na unaweza kutumia madaraka ya umma kujitajirisha.
Kwa mitazamo mbali mbali inaonekana kama kuna shinikizo la kuweka kumbukuzi kwao kwa siku za vifo vyao iwe ni sikuk rasmi ya kitaifa. Jee wote wawili wawekewe kumbukuzi ama ni mmoja tu kati yao ndiye anayefaa kuwekewa kumbukizi?
Unajinasibu kuwa wewe ni mkongwe kiumri na kutaaluma lakini kama unaweza kudiriki kulinganisha Mlima Kilimanjaro na mwinuko wa Sekenke basi wewe huna unachojuwa.Kwa Bahati wengine mpaka sasa kwa sehemu tumebahatika kuona Marais wote baada ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kung'atuka madarakani. Wengine tumepata bahati kufanya uchaguzi kuanzia enzi Mwinyi akiwa Madarakani.
Kati ya Marais walioingia madarakani baada ya Mwalimu Kung'atuka yaani Ally Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete, John Pombe Magufuli, wawili kati yao wameshatangulia mbele ya haki. Benjamin Mkapa na John Pombe Magufuli.
Mkapa na Magufuli kila mmoja waliingia madarakani nchi ikiwa kwenye hitaji la kufanya mabadiliko ya kijamii na kiuchumi. Mkapa alikuwa ni Rais wa Kwanza kuchaguliwa baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995. Na Mkapa aliingia wakati nchi yetu inatoka kwenye mfumo wa njia kuu za uchumi kumilikiwa na dola kwenda kumilikiwa na sekta binafsi.
Magufuli aliingia madarakani wakati Tanzania ikwa na hitaji kubwa la kufanya mabadiliko ya udhibiti wa matumizi ya madarakani ya umma kwa maslahi binafsi. Magufuli aliingia wakati ilikuwa inaonekana kama vile ukiwa na madaraka unakuwa na nguvu isiyohojika na unaweza kutumia madaraka ya umma kujitajirisha.
Kwa mitazamo mbali mbali inaonekana kama kuna shinikizo la kuweka kumbukuzi kwao kwa siku za vifo vyao iwe ni sikuk rasmi ya kitaifa. Jee wote wawili wawekewe kumbukuzi ama ni mmoja tu kati yao ndiye anayefaa kuwekewa kumwewebukizi?
kuna mtu kaniambia sasa hivi wapo off line wanajiandaa na ibada ya kumuombea Hayati Mwamba apumzike kwa amaniNaambiwa mke wa Ben Saa8 na Azory Gwanda na mjomba wa Akwilline wako humu. Waulize watoe maoni.
Liwe wazo. Lakini kumbukizi haliwezi kufanywa mtu akiwa hai kwa mantiki kwamba kumbukizi kwa marehemu ni kwa kuwa hawezi kubadili Historia mtu akiwa hai haiwezekani kufanya kumbukizi ya aliyoyatenda kwani bado anayo nafasi ya kubadilika!!
Asante kwa kunisaidia kumjibu,..kwanza mi nashauri nyuzi za Magu ziwe zinafutwa,..wanatumalizia bando tu.Usifananishe Mkapa na vitu vya KIJINGA
Kuwa Taifa Kubwa....Mkapa ni Rais wa mfano aliyeitangaza nchi duniani na kuifanya Tanzania kuwa taifa kubwa.