Kati ya Mkapa na Magufuli nani anapaswa kufanyiwa kumbukizi?

Acha kumfananisha Ben na vitu vya kijinga mzee. Samahani sijaongea ulichotaka kusikia.
 
Kwanza Holidays zilizopo zinapaswa kupunguzwa watu wafanye kazi.

Tukianza kuendekeza utamaduni wa kuwawekea Holidays Maraisi walioaga dunia, je wakifika 100? Ina maana watu watapumzika siku 100?

Achezi hizo.
 
Hivyo ndivyo ilipaswa kuwa lakini sivyo ilivyo, ni ngumu sana kwetu binadamu!!
 
Mkapa ndo aliyemwibua Magufuli hivyo mkapa ndo mwamba wa nchi hii kwenye uchumi.
 
Unajinasibu kuwa wewe ni mkongwe kiumri na kutaaluma lakini kama unaweza kudiriki kulinganisha Mlima Kilimanjaro na mwinuko wa Sekenke basi wewe huna unachojuwa.

Msipende kuharibu CV/Taswira za watu kwa kuwalinganisha na vitu vya HOVYO. Huyo Magufuli wenu labda mlinganisheni na aki a Makonda, Sabaya, Kangi Lugora, Nkurunzinza au Kagame. Kama humfahamu Benjamin William Mkapa andika thread straight forward tutiririke hapa tukufahamishe
 
Naambiwa mke wa Ben Saa8 na Azory Gwanda na mjomba wa Akwilline wako humu. Waulize watoe maoni.
kuna mtu kaniambia sasa hivi wapo off line wanajiandaa na ibada ya kumuombea Hayati Mwamba apumzike kwa amani
 
Aliye tuvusha kipindi Cha lockdown ndiye anastahili kuwekewa kumbukizi
 
Liwe wazo. Lakini kumbukizi haliwezi kufanywa mtu akiwa hai kwa mantiki kwamba kumbukizi kwa marehemu ni kwa kuwa hawezi kubadili Historia mtu akiwa hai haiwezekani kufanya kumbukizi ya aliyoyatenda kwani bado anayo nafasi ya kubadilika!!


Sio liwe wazo bali ni mazoea yasiyofaa kufanya kumbukizi hadi muhusika awe kafariki.

Kumbukizi ni kwa ajili ya tukio ambalo muhusika hata akiwa hai hawezi kulibadilisha tena.
 
Hapo kuna mmoja alifariki baada ya kuondoka madarakani na kuna mwingine alifariki akiwa madarakani.
 
Watawala wa Kikristo wanakufa mapema kwa sababu wanaibeba dunia, hii Dunia ni nzima, fanya yako ondoka, tofauti na watawala wa kiislamu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…