Prince Mujubu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 340
- 249
- Thread starter
-
- #21
na Kuna uhusiano gan kati ya roho na moyoMaswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
kwa hyo mkuu unataka kuniambia muhusika mkuu hapo ni hzo glands na wala si moyo au ubongo?Chanzo Cha hisia sio ubongo
Ubongo ni kiungo Kama ilivyo kwa moyo na vinginevyo_Ila labda upate tofauti kupitia kazi kwamba hii ni ya kuwekea kumbukumbu ile ni ya kusukumia damu n.k
Vipo vichocheo a.k.a gland ndani ya mwili wa mwanadamu ambavyo huusika na uchochezi wa hisia za Kila namna ndani ya mwili wa kiumbe
Na Kuna Master wa hivyo vichocheo ambayo inaitwa pitutal gland Kama sijakosea(a third eye) na hifadhi yake ipo katika ya ubongo
Kwa wale watu wa mambo ya kiroho wanajua thamani ya hiyo kitu huwa unaweza ita pia patakatifu(pitutal gland) pa patakatifu(ubongo) kwa maana ndipo ilipo bahari ya mafikirio yote(imagination) ya mtu
Sasa kwa kuwa lugha yetu ni dhaifu juu ya elimu ya kiroho pia inakuwa ni gumu kidogo kwenye uwasilishwaji
Mtu anaweza akawa na nia ya kulenga kitu hicho kwenye uwasilishwaji wa taarifa lakini mpokeaji akaelewa kivingine labda kulingana na ujuha wa elimu husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo artificial?...unamaana kiungo cha kusukuma damu artificial?mkuu ila Kuna watu wana moyo artificial Kwa upande wao ikoje
Moyo , unafanya maamuz mkuuMaswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Hahahahaha asante mkuu bila shaka we ni love doctor.Kichwa ndio kila kitu moyo unasingiziwa tu. Brain ina control kila kitu. Umemuona mtu ukaona umempenda ubongo unapiga hesabu zake faster faster uchukue hatua gani. Kutumia akili kwa haraka kunafanya moyo u pump damu kwa kasi ili kukimbiza oxygen kwenye ubongo ili ujue unachukua hatua gani kama kumsalimia au vipi. Ndio pale unasikia mapigo ya moyo yanaenda mbio [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Moyo ni Kiungo na Roho ni kile kilicho ndani yake ambacho sio concrete (ni softwire)na Kuna uhusiano gan kati ya roho na moyo
bado naona nyota tu mkuu hapa naomba unielezee hii kitu imekaaje kwa ufahamu wako.Hapa kuna vitu umechanganya
Moyo ni kiungo kwenye mwili wa nyama, na ubongo pia ni kiungo kwenye mwili wa nyama
Halafu nafsi ni ni muunganiko wa roho na pumzi
Jr[emoji769]
bila kusahahu macho sbb yakisha ona itatengenezwa feeling na moyo,then brain itatafakali nitanyeje ili nifulfil my feeling.ndo utakuta mwingine ataamuakuiba,km ni mwanamke ataamua kufanya ufuska.Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Jenga hoja usiseme najua nini na nini sijui!Moyo , unafanya maamuz mkuu
Are you sure ?!
Una idea yeyote kuhusu CNS and PNS ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama uhusiano wa Redio na matangazo yanayotoka ndani ya redio😉na Kuna uhusiano gan kati ya roho na moyo
Hoja yangu ndiyo hiyo ?!Jenga hoja usiseme najua nini na nini sijui!
Moyo unatoa maamuzi yanayohusisha hisia (emotions, feelings na kadhalika)
Ubongo unachenjua taarifa, unatoa kumbukumbu lakini maamuzi hasa yanayohusiana na hisia ni kazi ya Nafsi soul!
Ndio maana unaweza ukajua kabisa kwa kutumia ubongo kwamba jambo hili ni baya na linamadhara kwangu iwapo nitalitenda (objective reasoning) lakini moyo ukasukuma kulitenda kwa sababu tu umekuwa sympathetically au you feel empathy kwa jambo au mtu flani.
Hawa wanaojilipua unadhani wansukumwa na ubongo au nafsi?
Hapana sijakuelewa vibaya. Nimekuelewa kwa namna rahisi kabisa ya nilivyokuelewa.Hoja yangu ndiyo hiyo ?!
Nmejaribu kukuuliza sababu , am simply a neuro scientist
Labda nltaka nkueleze , labda umenielew vibaya , sory !
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kwenye kundi gani Kati ya hayo uliyoyataja?Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Upo kwenye kundi gani Kati ya hayo uliyoyataja?
Sorry zamani ipi? Kwakuwa JF haina hata miaka 20Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mahusiano moyo hauhusiki kila kitu kwenye mwili wa mwanadamu kunakua regulated na ubongo, kupenda, kuumia unapotendwa kutoa maamuzin.k. yote hayo yanakua regulated na ubongo.Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Moyo kazi yake kusukuma damu hiyo kazi unayoupa ni ya kwako tuMaswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Ubongo chakula chake maarifa.Hapa kuna vitu umechanganya
Moyo ni kiungo kwenye mwili wa nyama, na ubongo pia ni kiungo kwenye mwili wa nyama
Halafu nafsi ni ni muunganiko wa roho na pumzi
Jr[emoji769]