[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123]Ubongo chakula chake maarifa.
Nafsi chakula chake imani.
Taarifa zinapotafsiriwa na ubongo nafsi huzipokea katika mlengo wa.hisia kutegemea na taarifa husika.
Kwa mtazamo.Wangu source ya vyote hivyo ni ubongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
I wish ningekuwa sina moyo...! Ningeishi lwa raha sana..! Moyo una mambo ya kisenge sana..! Unaweza kuona demu wako , ukaanza kwenda kasi bila sababu..! Unaweza kufa kifala moyo ukisimama..! I wish nisingekuwa na moyoHabari zenu wana jamvi?
Naomba kuuliza mwenye ufahamu na haya mambo nadhani hili swala watu wa psychology watakua na ufahamu zaidi.
Kwanza kabisa mimi binafsi kwa uelewa wangu nilikua najua kuwa source of feelings is our brains until yesterday nilikua namsikiliza Dr mmoja kwenye radio alieleza kuwa moyo unatoa electro magnetic waves ambayo ndiyo source ya hisia mara 1000 zaidi ya ubongo.
Sasa kitu nauliza mimi je Kuna utafit uliwah kufanyika? How come moyo unatengeneza hisia wakat tulijifunza kazi yake ni kusukuma damu?
Je huyu jamaa anatupotosha au yuko sahihi?
Hakuna suala linalofanywa na mwanadamu bila uhusika wa nafsiJenga hoja usiseme najua nini na nini sijui!
Moyo unatoa maamuzi yanayohusisha hisia (emotions, feelings na kadhalika)
Ubongo unachenjua taarifa, unatoa kumbukumbu lakini maamuzi hasa yanayohusiana na hisia ni kazi ya Nafsi soul!
Ndio maana unaweza ukajua kabisa kwa kutumia ubongo kwamba jambo hili ni baya na linamadhara kwangu iwapo nitalitenda (objective reasoning) lakini moyo ukasukuma kulitenda kwa sababu tu umekuwa sympathetically au you feel empathy kwa jambo au mtu flani.
Hawa wanaojilipua unadhani wansukumwa na ubongo au nafsi?
Kwahiyo wewe upo kundi gani kati ya mashoga wa insta na watoto wa Facebook?Ingekuwa zamani JF ilipokuwa kwenye peak yake kulikuwa na vichwa humu hilo swali lingejibiwa tukaelewa wote.
Ila siku hizi JF imefulia, watoto wa Facebook na mashoga wa Insta wamelivamia jukwaa kwa fujo. Don't expect marvelous and mysterious answer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa mfano zile hisia za mapenzi wengne wanasema heartbreak huwa znasababshwa na nn kat ya hvyoSense orgars :macho, masikio, ngozi ulimi na pua ndio vyanzo vya hisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa tunaanza kwa kuona, maana yake macho yanahusika, ubongo unahusika kutafsiri kama kitu kinakuvutia au la!Mkuu kwa mfano zile hisia za mapenzi wengne wanasema heartbreak huwa znasababshwa na nn kat ya hvyo
Kwa hyo Mkuu vipofu sasa huwa waskia tu Kwa watu kuhusu hyo hisia au vip?Huwa tunaanza kwa kuona, maana yake macho yanahusika, ubongo unahusika kutafsiri kama kitu kinakuvutia au la!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipofu hawawez kupata feelings ya mapenzi Kwa mtu?Huwa tunaanza kwa kuona, maana yake macho yanahusika, ubongo unahusika kutafsiri kama kitu kinakuvutia au la!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kupata hisia endapo akigusa, akishika maana anapata hisia hapo ngozi inahusikaVipofu hawawez kupata feelings ya mapenzi Kwa mtu?
Moyo ndio kila Kitu aiseee.... mambo yote yanaanzia hapo ndio maana ikitokea stuetion yoyote utaona mapigo ya Moyo yanaenda mbio then inasambaza Vibration kwenye milango ya fahamu tatizo linakua sovled then moyo unapoa....Habari zenu wana jamvi?
Naomba kuuliza mwenye ufahamu na haya mambo nadhani hili swala watu wa psychology watakua na ufahamu zaidi.
Kwanza kabisa mimi binafsi kwa uelewa wangu nilikua najua kuwa source of feelings is our brains until yesterday nilikua namsikiliza Dr mmoja kwenye radio alieleza kuwa moyo unatoa electro magnetic waves ambayo ndiyo source ya hisia mara 1000 zaidi ya ubongo.
Sasa kitu nauliza mimi je Kuna utafit uliwah kufanyika? How come moyo unatengeneza hisia wakat tulijifunza kazi yake ni kusukuma damu?
Je huyu jamaa anatupotosha au yuko sahihi?
Umeandika as if moyo na roho ni vitu sawa??Maswala yote yanayotutawala yenye uhusiano na hisia iwe ya furaha, huzuni, uchungu na mengine kama hayo ni kazi ya Moyo/roho/heart ila inayotafasiri kwa maana ya kufanya au kupima jambo na ambao ni objective ni Ubongo/Brain!
Ubongo hutafasiri taarifa pasipo upendoleo au hisia tofauti na Moyo ambao maamuzi yake ni subjective!
Vinauhusiano ila vyote si sawa. Ni sawa na Redio na Matangazo yanayorushwa na redio