Kati ya nchi 195 duniani ni nchi 31 tu ndizo zimehalalisha ndoa za jinsia moja

Kati ya nchi 195 duniani ni nchi 31 tu ndizo zimehalalisha ndoa za jinsia moja

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Pamoja na watu kutaka kuonesha kwa sasa kwamba ajenda kubwa ya kisiasa Tanzania ni Ushoga, lakini takwimu zinaonesha kwamba ni nchi 31 tu ulimwenguni pote ambazo ndizo zimehalalisha ndoa za jinsia moja na ni nchi moja tu ya Afrika, ambayo ni Afrika ya kusini, ndiyo Imehalalisha ndoa za jinsia moja.

Tujadili jinsi ya kuondokana na Umaskini, Maradhi na ujinga wetu badala ya kuifanya ajenda ya ndoa za jinsia moja kama ndiyo mapambano pekee ya kuikomboa nchi yetu. Nchi zilizopitisha sheria ya kuhalalisha ndoa za jinsia moja ni hizo hapo chini.

1. Mwaka 2000 Bunge la Uholanzi lilipitisha sheria inayoruhusu watu wa Jinsia moja kuoana.

2.Mwaka 2003 Ubeligiji ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za Jinsia moja.

3.Mwaka 2005, Canada ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za Jinsia moja.

4.Mwaka 2005 Hispania ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja.

5. Mwaka 2006 Afrika ya Kusini ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

6. Mwaka 2008 Norway ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

7. Mwaka 2009 Sweden ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

8.Mwaka 2010 Iceland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

9. Mwaka 2010 Ureno ilipitisha sheria ya Kutambua ndoa za jinsia moa

10. Mwaka 2010 Argentina Ilipitisha Sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

11. Mwaka 2012 Denmark ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

12.Mwaka 2013 Uruguay Ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

13, Mwaka 2013 New zealand ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

14. Mwaka 2013 Ufaransa ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

15, Mwaka 2013 Brazil ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

16. Mwaka 2013 Uingereza na Wales zilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

17. Mwaka 2014 Scotland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

18. Mwaka 2014 Luxmbourg ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

19. Mwaka 2015 Finland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

20. Mwaka 2015 Ireland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

21. Mwaka 2015 Greenland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

22. Mwaka 2015 Mahakama Kuu Marekani ilitoa hukumu ya kutambua ndoa za jinsia moja

23.Mwaka 2016 Columbia ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

24. Mwaka 2017 Ujerumani ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

25. Mwaka 2017 Malta ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

26. Mwaka 2017 Australia ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

27. Mwaka 2019 Austria ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

28. Mwaka 2019 Taiwan ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

29 Mwaka 2019 Ecuador ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

30.Mwaka 2019 Northern Ireland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

31 Mwaka 2020 Costa Rica ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja.
 
Wewe unasema tujadili umasikini halafu uzi wako unajadili nini??
Kwa kiingereza kuna kitu kinaitwa "Bottom line". Yaani pamoja na yote hayo mwisho wa siku mjadala usiwe huo. Maana kila siku bungeni imekuwa kama ndiyo ajenda kuu ya wabunge wetu wakati kuna mengi ya kujadili.

Hapo hoja kuu ni kwamba tuna mengi ya kujadili mbali ya kujitwisha jambo ambalo wala si la kiulimwengu.
 
Tazama rate ya uungwaji mkono kila mwaka...

Ukiacha hilo, mambo ya mahusiano lazima yatajadiliwa tu kwa sababu ni moja ya nguzo kuu za mwanadamu yeyote maana ni sehemu ya nyanja kuu tatu ambazo no siasa, uchumi na utamaduni...
 
Huu mkakati wanahangaika bure kwa Afrika hautafaulu kwa sababu hata serikali iamue kukubali kupitisha sheria lakini wale watakaojitokeza na kujulikana kwamba ni mashoga maisha yao yatakuwa hatarini sana kwani wananchi wenye hasira hawatawaacha waishi.

Itakuwa ni rahisi kwa jambazi kuachwa aishi kuliko shoga kuachwa kuishi katika nchi za kiafrika. Tuweke macho.
 
Kama mgonjwa mmoja tu wa CoVID 19 alipogunduliwa dunia ilizizima, itakuwa nchi 31? Hizo ni nyingi mno ukizingatia kuwa uliowataja ni washirika wakubwa wa maendeleo ya nchi yetu. Ndio m7da sahihi wa kupiga kelele kuhusu huu ujinga ambao ni kati ya maadui wetu wakubwa
 
Huu mkakati wanahangaika bure kwa Afrika hautafaulu kwa sababu hata serikali iamue kukubali kupitisha sheria lakini wale watakaojitokeza na kujulikana kwamba ni mashoga maisha yao yatakuwa hatarini sana kwani wananchi wenye hasira hawatawaacha waishi.

Itakuwa ni rahisi kwa jambazi kuachwa aishi kuliko shoga kuachwa kuishi katika nchi za kiafrika. Tuweke macho.
Tena tutakuwa tunawaua kikatili 🤬
 
Ndo maana China mainland Wana haki ya kuivamia Taiwan, Taiwan kuhalalisha ndoa za jinsia moja kwa mgongo wa USA Ni kuhatarisha usalama wa vizazi vya China mainland[emoji26][emoji3525]
 
Mbona hujaitaja Ukraine,
Au unajisahaulisha mkuu[emoji4]
 
Pamoja na watu kutaka kuonesha kwa sasa kwamba ajenda kubwa ya kisiasa Tanzania ni Ushoga, lakini takwimu zinaonesha kwamba ni nchi 31 tu ulimwenguni pote ambazo ndizo zimehalalisha ndoa za jinsia moja na ni nchi moja tu ya Afrika, ambayo ni Afrika ya kusini, ndiyo Imehalalisha ndoa za jinsia moja.

Tujadili jinsi ya kuondokana na Umaskini, Maradhi na ujinga wetu badala ya kuifanya ajenda ya ndoa za jinsia moja kama ndiyo mapambano pekee ya kuikomboa nchi yetu. Nchi zilizopitisha sheria ya kuhalalisha ndoa za jinsia moja ni hizo hapo chini.

1. Mwaka 2000 Bunge la Uholanzi lilipitisha sheria inayoruhusu watu wa Jinsia moja kuoana.

2.Mwaka 2003 Ubeligiji ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za Jinsia moja.

3.Mwaka 2005, Canada ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za Jinsia moja.

4.Mwaka 2005 Hispania ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja.

5. Mwaka 2006 Afrika ya Kusini ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

6. Mwaka 2008 Norway ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

7. Mwaka 2009 Sweden ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

8.Mwaka 2010 Iceland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

9. Mwaka 2010 Ureno ilipitisha sheria ya Kutambua ndoa za jinsia moa

10. Mwaka 2010 Argentina Ilipitisha Sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

11. Mwaka 2012 Denmark ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

12.Mwaka 2013 Uruguay Ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

13, Mwaka 2013 New zealand ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

14. Mwaka 2013 Ufaransa ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

15, Mwaka 2013 Brazil ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

16. Mwaka 2013 Uingereza na Wales zilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

17. Mwaka 2014 Scotland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

18. Mwaka 2014 Luxmbourg ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

19. Mwaka 2015 Finland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

20. Mwaka 2015 Ireland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

21. Mwaka 2015 Greenland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

22. Mwaka 2015 Mahakama Kuu Marekani ilitoa hukumu ya kutambua ndoa za jinsia moja

23.Mwaka 2016 Columbia ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

24. Mwaka 2017 Ujerumani ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

25. Mwaka 2017 Malta ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

26. Mwaka 2017 Australia ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

27. Mwaka 2019 Austria ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

28. Mwaka 2019 Taiwan ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

29 Mwaka 2019 Ecuador ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

30.Mwaka 2019 Northern Ireland ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja

31 Mwaka 2020 Costa Rica ilipitisha sheria ya kutambua ndoa za jinsia moja.
Mungu atuepushilie mbali..
 
Back
Top Bottom