Kati ya Nguvu za kiume, Six Packs, Hela, Elimu, kazi au Mali, unachagua kipi?

Kati ya Nguvu za kiume, Six Packs, Hela, Elimu, kazi au Mali, unachagua kipi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Hili swali ni kwa ajili ya vijana waliomo Humu JF. Kati ya kuwa na Nguvu za Kiume, kuwa na mwili uliojengeka misuli (Six Packs), Kuwa na Hela, kuwa na Elimu, Kufanya kazi, au kumiliki mali, kipi unaona ni muhimu kwako?

Kama ukiambiwa uvipange kwa kufuata mtiririko kipi kingekuwa Namba 1,2,3,4,5,6 na una sababu yoyote ya kuweka huo mtiririko? Kama wewe ni binti unataka kijana awe na nini kati ya hayo mambo sita, kipi ndiyo kiwe kipaombele chake ili uone anafaa kuwa mpenzi wako. Jee na wewe kama binti ungeweka mfuatano upi kwa mambo hayo sita?

Au unaweza kuchagua machache na kusema hayo ndiyo unaona ni ya maana kwenye maisha yako na yanaweza kukusaidia mbele ya safari.
 
Hili swali ni kwa ajili ya vijana waliomo Humu JF. Kati ya kuwa na Nguvu za Kiume, kuwa na mwili uliojengeka misuli (Six Packs), Kuwa na Hela, kuwa na Elimu, Kufanya kazi, au kumiliki mali, kipi unaona ni muhimu kwako?

Kama ukiambiwa uvipange kwa kufuata mtiririko kipi kingekuwa Namba 1,2,3,4,5,6 na una sababu yoyote ya kuweka huo mtiririko? Kama wewe ni binti unataka kijana awe na nini kati ya hayo mambo sita, kipi ndiyo kiwe kipaombele chake ili uone anafaa kuwa mpenzi wako. Jee na wewe kama binti ungeweka mfuatano upi kwa mambo hayo sita?

Au unaweza kuchagua machache na kusema hayo ndiyo unaona ni ya maana kwenye maisha yako na yanaweza kukusaidia mbele ya safari.
Nyie akilini mnawaza ngono sijui mmerogwa wasenger nyie post zenu za kipumbavu Sana
 
Lisiwepo maana umeuliza maswali ambayo ni illogical... Stupid questions. Kaa chini fikiria maswali ya msingi uje uulize tutakujibu. Au basi tufikirie na sisi wengine tutafutie maswali ya maana jengefu,yenye akili.
Halafu wewe huyo huyo ukikuta mada "Demu wangu kanikataa kwa sababu sina pesa" unachangia mpaka kibodi inawaka moto. Haya maswali ni mpaka uwe na ufahamu kujua yamebeba mambo mengi. Humu kuna mambo ya Vumbi la mkongo, Kati ya Pesa na elimu kipi bora na mengineyo mengi tu.

Mada imebeba mambo mengi wewe umeiona kwa jicho la maswali. Watanzania wengi tuna akili ila jinsi ya kuzitumia ndiyo utata.
 
Nyie akilini mnawaza ngono sijui mmerogwa wasenger nyie post zenu za kipumbavu Sana
Pesa, Elimu, Mali, mwili wenye misuli na kazi navyo ni ngono? Mbona unaonesha kwenu mmekuzwa kuona kutukana ni kawaida? Hayo matusi yamekuongezea nini sasa?
 
Hili swali ni kwa ajili ya vijana waliomo Humu JF. Kati ya kuwa na Nguvu za Kiume, kuwa na mwili uliojengeka misuli (Six Packs), Kuwa na Hela, kuwa na Elimu, Kufanya kazi, au kumiliki mali, kipi unaona ni muhimu kwako?

Kama ukiambiwa uvipange kwa kufuata mtiririko kipi kingekuwa Namba 1,2,3,4,5,6 na una sababu yoyote ya kuweka huo mtiririko? Kama wewe ni binti unataka kijana awe na nini kati ya hayo mambo sita, kipi ndiyo kiwe kipaombele chake ili uone anafaa kuwa mpenzi wako. Jee na wewe kama binti ungeweka mfuatano upi kwa mambo hayo sita?

Au unaweza kuchagua machache na kusema hayo ndiyo unaona ni ya maana kwenye maisha yako na yanaweza kukusaidia mbele ya safari.
Ndio maana kila siku tozo zinaongezeka na maisha yanazidi kuwa magumu. Hii inatokana na nchi hii kujaa vijana wajinga kama Allen Kilewella.

Kuwaza upuuzi tu.
 
Ndio maana kila siku tozo zinaongezeka na maisha yanazidi kuwa magumu. Hii inatokana na nchi hii kujaa vijana wajinga kama Allen Kilewella.

Kuwaza upuuzi tu.
Mi nimesema. Jamaa hajachangamsha akili kabisa. Kauliza tu maswali ya kipumbavu ya ukilaza. Unaweza muuliza anatakwambia ana degree....🤣
 
mtoa mada kama hapakuliwi bas anapulizwa marinda[emoji41]
 
Mi nimesema. Jamaa hajachangamsha akili kabisa. Kauliza tu maswali ya kipumbavu ya ukilaza. Unaweza muuliza anatakwambia ana degree....[emoji1787]
akiwa na degree labda ile ya centigrade ila kama ni za elimu hana akiwa nazo niite mavi
 
Back
Top Bottom