sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Siku tatu bila kusinzia[emoji849] niliwahi kukesha usiku mmoja bila kusinzia nilikuwa kama zezeta!Usingizi naeza kutoboa hata siku 3, lakini njaa masaa tu siwezi.
Pole sweetie..😉Siku tatu bila kusinzia[emoji849] niliwahi kukesha usiku mmoja bila kusinzia nilikuwa kama zezeta!
Asante[emoji3]Pole sweetie..[emoji6]
You know I love you..??Asante[emoji3]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] u more!You know I love you..??
Sawa chaupole wangu..😍[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] u more!
This is future impossible tenseMfano jana ilikuwa jumanne ukala, ukashiba na ukalala vizuri.
Leo jumatano saa 12 asubuhi umeamka unapewa amri uchague kukosa kitu kimoja kati ya hivi.
1.Usile chochote kuanzia saa 12 asubuhi leo jumatano kwa siku mbili (utakula tena hadi ifike saa 12 keshokutwa ijumaa)
2.Usilale kuanzia saa 12 asubuhi leo jumatano kwa siku mbili (utalala tena hadi ifike saa 12 keshokutwa ijumaa)
Siku 3? Usingizi? Labda kama utakuwa unakaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote.Usingizi naeza kutoboa hata siku 3, lakini njaa masaa tu siwezi.
Siku 3? Usingizi? Labda kama utakuwa unakaa tu ndani bila kufanya shughuli yoyote.
Wajuvi wamesema, njaa kwa ke inaweza kuwa stahimilivu kama deni la taifa, kwa me ni kama siku 4 tu, ngoja nifuatilie kuhusu usingizi...ila jua kuwa dakika inatosha kupunguza usingizi.