Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nyegere.
Fisi-maji
Fisi-maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji114][emoji114]Kwa tuliokulia kando ya ziwa tunajua balaa la fisi maji. Huyu bwana anaweza kubaka hata kidonda chako cha mguuni ukiwa unaogelea. Anapenda kunanihii kuliko kula hua anabaka mawe,mitumbwi iliyoegeshwa na matete[emoji28]
Hapo ni wapi nimepapendaKwa tuliokulia kando ya ziwa tunajua balaa la fisi maji. Huyu bwana anaweza kubaka hata kidonda chako cha mguuni ukiwa unaogelea. Anapenda kunanihii kuliko kula hua anabaka mawe,mitumbwi iliyoegeshwa na matete😅View attachment 2329819
Yule jamaa muangusha miti ni beaver. Utadhani ana msumeno.huyo baharia nnachojua ana mataya magumu sana anatumia kuangusha miti kando ya mito.
Naona Hapo alikua anabaka hizo nyumba za udongo 😄😄Kwa tuliokulia kando ya ziwa tunajua balaa la fisi maji. Huyu bwana anaweza kubaka hata kidonda chako cha mguuni ukiwa unaogelea. Anapenda kunanihii kuliko kula hua anabaka mawe,mitumbwi iliyoegeshwa na matete😅View attachment 2329819
Mkuu koboko dume ulimjuaje mzee baba?[emoji3]Nyegere ni hatari nikiwa maeneo ya kaliua huko Tabora nilishuhudia akiua koboko dume kubwa kweli! Mpaka leo namrespect sana huyo mnyama. Haogopi kitu kabisa.
Kuna video niliiona Natgeo Nyegere alikua anamchokoza chokoza Simba,mzee baba Simba akawa anamu-ignore nyegere akaendelea kumchokoza aisee Simba alikakamata alikavuruga ndani ya sekunde 30 kakawa akhera tayari.Nyegere balaaa lake linajulikana zama you-tube au googlee mwamba anatiiishaaaa mwambaaa siooo muogaaaa mwamba kamaaa Mwigulu Nchembaaa analambaaaa asaliiii
Nyegere anatisha kweli. Lakini ingia Youtube usearch otter uone balaa lake.Nyegere balaaa lake linajulikana zama you-tube au googlee mwamba anatiiishaaaa mwambaaa siooo muogaaaa mwamba kamaaa Mwigulu Nchembaaa analambaaaa asaliiii
..."koboko dume kubwa"... mkuu tupe uzoefu, unayajuaje jinsia zake hayo madude?Nyegere ni hatari nikiwa maeneo ya kaliua huko Tabora nilishuhudia akiua koboko dume kubwa kweli! Mpaka leo namrespect sana huyo mnyama. Haogopi kitu kabisa.
Males ni warefu zaidi ya majike na huwa wana macho makubwa kuzidi females. Males wakiwa kwenye battle na mnyama au binaadamu hawakimbii wakizidiwa ila females tend to run na wanaspidi zaidi ya males! Thread 'Namna ya kuwa tajiri mwaka huu, hii biashara inalipa ni kiboko huhitaji kafara!' Namna ya kuwa tajiri mwaka huu, hii biashara inalipa ni kiboko huhitaji kafara!..."koboko dume kubwa"... mkuu tupe uzoefu, unayajuaje jinsia zake hayo madude?