Kati ya Nyegere(Honey badger) na Fisi-maji(Otter) nani hatari?

Kati ya Nyegere(Honey badger) na Fisi-maji(Otter) nani hatari?

Vyovyote vile ila swali langu ni hili; ninapotoa akiba yangu (SAVINGS) ambayo niliwakabidhi benki wanitunzie (na service charge juu) nakua nimeingiza kipato gani cha kustahili kukatwa kodi/tozo? Wataalamu wa kodi mnisaidie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tozo zitawaua
 
Vyovyote vile ila swali langu ni hili; ninapotoa akiba yangu (SAVINGS) ambayo niliwakabidhi benki wanitunzie (na service charge juu) nakua nimeingiza kipato gani cha kustahili kukatwa kodi/tozo? Wataalamu wa kodi mnisaidie
ni wizi tu hapo tunaibiwa wazi kabisa.
 
Hapo ni wapi nimepapenda
Kwetu huku njoo nikutembeze uinjoi nature. Unaamka asubuhi unapigia mswaki ziwani hapo.
 
Maeneo mazuri ya kutembelea Tanzania ila hayatangazwi wananchi wapo busy kuongeza Tozo sehemu zisizostahili...
 

Attachments

  • 20220803_115015.jpg
    20220803_115015.jpg
    425.3 KB · Views: 3
Hao ni jamii moja na wote ni watata pia wana kajomba kao kadogodogo hivi kanaitwa weasel ni hatari tupu.
 
Back
Top Bottom