Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Wewe kama mimi tu. Huwa naweza kupitia sehemu nakunywa bia 2 tatu, zikishakolea nampigia rafiki yangu aje tunywe. Hata akisema yuko vibaya namlipia boda napenda kampani yake tu.Pombe haifilisi kama hautakunywa kila siku au nyingi na inategemea na aina ya pombe.
Sasa vi desperado 6 mara moja kwa wiki ufilisike kweli?
Raha ya pombe bhana uwe na kampani. Yaani mimi kuliko nikanywa pombe mwenyewe bora nisinywe. Nikijisikia kunywa namtafuta rafiki yangu namtoa hata kama hana hata mia nitalipa.
Pombe ni zaidi mzee inakimbizana na kamari kwenye msimamo.Vyote vinarostisha mkuu
Kupoteza hela ni kupoteza hela tu haijalishi chanzo cha kupoteza
tiGo nayo imo?Points zangu ni zifutazo
1. Pombe
Inamaliza Sana Hela hasa ukinywa za kampani za kuzungusha yule mupe yule muruke ila bia za kunywa mwenyewe hazifilisi hata kidogo kwani huwezi kuchoma laki Kwa siku ukiwa unakunywa peke yako
2. Mademu
Hawamalizi Hela kama ukiwa na msimamo mmoja kwamba bei elekezi umeamua Kuwapa 10000 au 15,au twenty. Binafsi sijawahi kumpa mwanamke 50000 eti nimkule tu ni heri ni Kajinyonge mwenyewe π€³
3. Kamari
Hii kitu sio poa hasa Kwa sisi watia mizigo ya kwendA high stake. Huwa naweka laki Mara nyingi Sana hasa napokuwa na pesa zaidi ya million tano na kuendelea(watapinga watu kwamba najimwambafai Sina hela Hizo) ila uzuri wa Kubet style yangu ni kutia mizigo mikubwa kwenye odds Kwa timu Moja tu mfano Jana match ya NICE kufungwa alipewa odds 4 nikazifuata gal sport nikala laki nne ila pia nilimuua Barcelona nikaliwa kichwa so kamari ni hatari Sana unapokuwa na pesa nyingi kwani unashawishika kutia Hela nyingi na ukiliwa nyingi pia.
Wee mlevi..πPombe haifilisi kama hautakunywa kila siku au nyingi na inategemea na aina ya pombe.
Sasa vi desperado 6 mara moja kwa wiki ufilisike kweli?
Raha ya pombe bhana uwe na kampani. Yaani mimi kuliko nikanywa pombe mwenyewe bora nisinywe. Nikijisikia kunywa namtafuta rafiki yangu namtoa hata kama hana hata mia nitalipa.
Mimi bila kampani hata chupa moja inaisha kwa tabu.Wewe kama mimi tu. Huwa naweza kupitia sehemu nakunywa bia 2 tatu, zikishakolea nampigia rafiki yangu aje tunywe. Hata akisema yuko vibaya namlipia boda napenda kampani yake tu.
Hamna mimi hata pombe sizikubali wala nini sema napenda ma vibe vibe na hauwezi kutoka unywe fanta.Wee mlevi..π
Niko tayari mkuu wangu,Sawa mkuu kikubwa usiwe mpole tu
Na wengine sio walevi kama wewe tunakunywa tunajielewaPombe ni zaidi mzee inakimbizana na kamari kwenye msimamo.
Binafsi sijawahi kujutia kutumia hela kwa ajili ya mwanamke, matumizi yote guwa yanakwenda kama yalivyopangwa.
Ila nimewahi kujutia asubuhi kwa ajili ya pombe. Unakuta ulikuwa na laki 6 jioni halafu unaamka na 83,400 asubuhi na zenyewe za kuokoteza mfuko huu na ule.
Una vibe vipi kama hujalewa?βοΈβοΈ Sema nimekuelewa unalewa ila mara moja moja kwa week.πHamna mimi hata pombe sizikubali wala nini sema napenda ma vibe vibe na hauwezi kutoka unywe fanta.
Sijafikia kuitwa mlevi. Nakunywa safari 3 kwa mangi kila siku kwa mwaka mzima isipokuwa ijuma na jumamosi naweza kunywa bia 9, nakuwa na likizo fupi ya kutokunywa mwezi wa 7 na 8 kisha nakiwasha tena.Na wengine sio walevi kama wewe tunakunywa tunajielewa