Leo ni 20 kesho 21BARAZA KUU CHADEMA LEO 21 January 2025 MLIMANI CITY
WAANDISHI WA HABARI MNAKARIBISHWA....HAKUNA KUPOWA MPAKA KIELEWEKE!!!!
Atakuwa mwenzetu anaishi kwenye Andromeda Galaxy labda.Leo ni 20 kesho 21
Siku imebadilika labda kajua tushaingia tarehe 21Atakuwa mwenzetu anaishi kwenye Andromeda Galaxy labda.
Lema mhuni sana!! Eti anakazania Mbowe jitoe jitoe utaaibika loh!!Team Lisu =Team Matusi, waongo sana.
Wanapenda sana majungu, wanaongozwa wivu uliopitiliza, na mihemko, na wanapenda mapinduzi hata kama hawayawezi.
Achana na Team Lusu ni wahuni, hawana busara wala hekima.
Huu uchaguzi utaondoka na wengi sanaLema mhuni sana!! Eti anakazania Mbowe jitoe jitoe utaaibika loh!!
Ujinga mtupu, sasa nini maana ya uchaguzi ikiwa wagombea watashinikizwa kujitoa, na ikiwa atakayepata aibu ni Mbowe, yeye Lema ina muhusu nini?Lema mhuni sana!! Eti anakazania Mbowe jitoe jitoe utaaibika loh!!
Ule mkutano wao nilitarajia waseme tunaenda kushinda uchaguzi lkn ulijaa vitisho tupu eti Mbowe jitoe! Lema mjinga sana!Ujinga mtupu, sasa nini maana ya uchaguzi ikiwa wagombea watashinikizwa kujitoa, na ikiwa atakayepata aibu ni Mbowe, yeye Lema ina muhusu nini?
Demokrasia ni pamoja na kuchaguana, wao Team Lisu hawataki, wameng'ang'ania Mbowe ajitoe, Ampishe Lisu.
Ujinga ujinga tu umewajaa.
24 hrs hamuibiwi kura 🤣🤣Leo ni 20 kesho 21
🤣🤣🤣 Kumbe mupo macho kweli ULINZI UPO MAKINI HUU MNTANGELeo ni 20 kesho 21
Walisema wako 17 ( kabla ya wa Tabora kufika) na watano wana udhuru lakini wako tayari hata kuongea kwenye simu. Hii shughuli kweli bado mbichi.Press Ya Pili wameonekana wenyeviti 18 wanadai wana wenyeviti 22/33 ila Press ya Kwanza Wenyeviti hata 10 hawafiki hapo ila wanadai wana wenyeviti 25/33 which is which tutaijua tarehe 21
..Press conference ya kwanza hii hapa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=lFV-oPTTN28
..Press conference ya pili hii hapa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=Eidcj4OZ5AI
CC Erythrocyte , Tindo, brazaj, Fundi Mchundo
"But the truth brought it back to Life "Muda ni hakimu wa yote…. ‘Curiosity killed the cat’ hii tuuachie muda utaamua.
Wanamuogopa, lakini muda huo huo wanajitia uchizi, kujidai hawataki apate aibu.Ule mkutano wao nilitarajia waseme tunaenda kushinda uchaguzi lkn ulijaa vitisho tupu eti Mbowe jitoe! Lema mjinga sana!
Vita nikuvute, siku zinakaribia..Press conference ya kwanza hii hapa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=lFV-oPTTN28
..Press conference ya pili hii hapa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=Eidcj4OZ5AI
CC Erythrocyte , Tindo, brazaj, Fundi Mchundo