Kati ya Ronaldinho,Messi na Pele.Yupi ni Fundi wa kuchezea Mpira na Kunyanyasa Wachezaji wa Timu Pinzani?

Kati ya Ronaldinho,Messi na Pele.Yupi ni Fundi wa kuchezea Mpira na Kunyanyasa Wachezaji wa Timu Pinzani?

Wote uliowataja bado hawajamfikia fundi wa mpira, Manuel Francisco dos Santos maarufu kama " Garrincha " au Furaha ya Watu.

Alijaaliwa kipaji cha hali ya juu sana livha ya mguu wake mmoja kuwa mfupi na kujikunja ( tege ) anatajwa kama mkokotaji mahiri wa mpira kuwahi kutokea Ulimwenguni sahau kuhusu upigaji wa chenga za maudhi kwa wapinzani.

Ndiye staa aliyeipa Brazil taji la Kombe la Dunia la mwaka 1962 lililofanyika pale kwa Wahuni na watukutu nchini Chile.
Aliibeba Brazil kwenye makwapa yake mara baada ya kuumia kwa Pele kwenye mechi ya pili tu hivyo Garrincha akavaa vyema viatu vya Pele. Na ndio aliyekuwa mchezaji bora wa michuano hiyo.
Sema kutokana na ulevi uliopindukia wengi hawakumpa heshima yake na haishangazi alipofariki mapema kutokana na ulevi.
Ni kama stori ya George Best tu.

Hivyo unapolinganisha hao jamaa zako tafadhali naomba umkumbuke na Garrincha katika orodha yako!
Yule jamaa alikuwa ana dharau hadi anatembea na mpira na si kukimbia, kuuchukua ni kazi mno. Alikuwa na chenga nyingi kichwani hadi anasema akiwa mbele ya mpinzani hajui ampige chenga gani anajikuta tu katumia mtindo fulani. Hao kina Messi na Maradona asilimia kubwa wanatumia mbinu zake chache
 
LEO ANDRES MESSI NA DIEGO ARMANDO MARADONA.wawili hawa hawana mpinzani mpaka sasa. Anaebisha abishe sasa!!! kwanza haihitaji kuingia youtube wala nini....na ukitaka kujuwa mcheki Zidane, gaucho,cr7 then di lima. utaona kila mmoja anamuiga mwenzie style ya kucheza.Hata Neimar pia hivyo hivyo..ingawa CR7 na Zidane.Ataekuja kubisha basi sio mfatiliaji wa mpira. Ukija kwa DIEGO NA MESSI style zao bado sijaona kwa mchezaji yeyote kuiga, chenga zao za maudhi na wala hazihitaji nguvu,ukilinganisha na viraka wengine. Ukija kwenye ufungaji mpaka raha jamani unapenda kuwatazama all times these players, yani wanascore magoli mazuri mno more than any player.

 
Kwakweli Tangu mpira ulipoanza kuchezwa ,Imejipatia Mashabiki kila Pembe Ya Dunia.Na Burudani hasa kwa wale Mashabiki wa Mpira wenyewe.

Lakini Burudani huongezeka pale kunapotokea Wanaume ambao hulazimisha Mpira kutii kile wanachokitaka wao.

Swali ni moja tu kati ya hao ni yupi zaidi wa Kuchezea mpira,Kupiga chenga za Maudhi na Manjonjo mengine yanayoongeza Burudani ndani ya Uwanja?

Mimi si Mhenga,Lakini nimeangalia Clips za Maradona akaniacha Mdomo wazi

MESSI NA DIEGO hawana mpinzani mpaka now. Style zao hawakuiga kwa mchezaji yeyote mkuu, na hakuna mchezaji aliyeweza kuiga style zao za kucheza wawili hawa. Mcheki Zidane, gaucho,cr7 then di lima. utaona kila mmoja anamuiga mwenzie style ya kucheza. Hata Neimar vile vile...Ataekuja kubisha basi sio mfatiliaji wa mpira.

Ukija kwa pele hakuwa na lolote kipindi hicho hakuna mabeki except wazee alokuwa anacheza nao. Na sheria nyingi hazikuwepo mf: offside n.k
 
Kwakweli Tangu mpira ulipoanza kuchezwa ,Imejipatia Mashabiki kila Pembe Ya Dunia.Na Burudani hasa kwa wale Mashabiki wa Mpira wenyewe.

Lakini Burudani huongezeka pale kunapotokea Wanaume ambao hulazimisha Mpira kutii kile wanachokitaka wao.

Swali ni moja tu kati ya hao ni yupi zaidi wa Kuchezea mpira,Kupiga chenga za Maudhi na Manjonjo mengine yanayoongeza Burudani ndani ya Uwanja?

Mimi si Mhenga,Lakini nimeangalia Clips za Maradona akaniacha Mdomo wazi

Mkuu Wa-pm mods wabadilishe kichwa cha habari.mbona simple tu
 
Kwakweli Tangu mpira ulipoanza kuchezwa ,Imejipatia Mashabiki kila Pembe Ya Dunia.Na Burudani hasa kwa wale Mashabiki wa Mpira wenyewe.

Lakini Burudani huongezeka pale kunapotokea Wanaume ambao hulazimisha Mpira kutii kile wanachokitaka wao.

Swali ni moja tu kati ya hao ni yupi zaidi wa Kuchezea mpira,Kupiga chenga za Maudhi na Manjonjo mengine yanayoongeza Burudani ndani ya Uwanja?

Mimi si Mhenga,Lakini nimeangalia Clips za Maradona akaniacha Mdomo wazi

KING MESSI
KING DIEGO


waliobakia wakasome
 
Back
Top Bottom