Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Inaweza ikawa sababu kumbeTusisahau kuwa katokea Africa
Nilitaka kuandika kuhusu favor kwa Ronaldo ila nikikumbuka Mo Salah alivyokichafua mwezi uliopita, unabaki unacheka tuBaada ya Ronaldo kutangazwa leo kuwa ameshinda tuzo ya mchezaji bora Septemba, kumeibuka minong'ono kuwa tuzo hiyo alistahili kutwaa Mohamed Salah wa Liverpool!
Hata mchambuzi maarufu wa BBC Match of the day, Gary Lineker amekiri kuwa Salah alitakiwa ndio awe mshindi.
Je wewe mchambuzi wa JF unahisi nani alistahili tuzo hiyo?
View attachment 1968152
View attachment 1968153
Salah amefanyiwa "day light robbery"Nilitaka kuandika kuhusu favor kwa Ronaldo ila nikikumbuka Mo Salah alivyokichafua mwezi uliopita, unabaki unacheka tu
Sikupingi babaakeTusisahau kuwa katokea Africa
Kabisa mkuu, ana bahati mbaya sana kuzaliwa Afrika au angeamua kuchukua uraia wa nchi yeyote kubwa duniani na kuichezea basi now tungekuwa tunazungumzia mengine kabisaSalah amefanyiwa "day light robbery"
Naunga mkono hoja yakoUstaadhi anastahili mpaka ballon d'or
Hao ndio wazungu wataalam wa figisuDuh! Wamezingua kama kigezo ni nambaz.
Tatizo Ustadh kazaliwa bara la watu weusiUstadh alishahili bwana
Ronaldo na Messi hawana wa kufananishwa nao. TUACHE UNAFIKI.