Kati ya Ronaldo na Salah nani alistahili tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba?

Kati ya Ronaldo na Salah nani alistahili tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba?

Hapo ndio utajua maana ya ubaguzi ni nini kuna msimu mani alifanya vizuri ila eti mo salah akawa ranked juu yake[emoji1787][emoji1787]
 
Mwenyewe nimestaajabu kwa ronaldo, hata mafans wake watakuwa wamestaajabishwa na kitendo hicho.

Sipati picha angelikuwa muingereza au mbrazili angeimbwa sana na kupewa tuzo, but from Africans tusitegemee kipya😂


Mfano kwa Gaucho, kwangu mimi jj okocha alikuwa anajuwa zaidi ya gaucho kwa kipindi kile, na ndie amejifunzia kwake(okocha ni mwalimu wa gaucho) lakini hakuimbwa.



Wafanye wafanyavyo, Salah is no 1.
Hivi unajua kuwa Okocha hakuwahi kushinda hata tuzo ya mchezaji bora wa Afrika
 
Sal
Baada ya Ronaldo kutangazwa leo kuwa ameshinda tuzo ya mchezaji bora Septemba, kumeibuka minong'ono kuwa tuzo hiyo alistahili kutwaa Mohamed Salah wa Liverpool!

Hata mchambuzi maarufu wa BBC Match of the day, Gary Lineker amekiri kuwa Salah alitakiwa ndio awe mshindi.

Je wewe mchambuzi wa JF unahisi nani alistahili tuzo hiyo?

View attachment 1968152

View attachment 1968153
Salah
 
hizo namba haziko sawa kwa upande wa Salah
Kwa mwezi September ( ambapo tuzo ndio imelenga).
Salah kafunga goli moja moja kwenue mechi za Leeds, Crystal Palace na Brentford. Jumla ni Goli tatu.

Ronaldo kafunga mechi ya Newcastle goli 2 na mechi ya West ham goli 1.

Wote hawana Assist kwa kipindi hicho.


Hata hivyo tukumbuke.
mshindi wa tuzo hii huwa anapatikana kwa kupigiwa Kura., Kama sikosei na mashabiki.( Kwa kuangalia hilo Ronaldo lazima angeshinda tuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyewe nimestaajabu kwa ronaldo, hata mafans wake watakuwa wamestaajabishwa na kitendo hicho.

Sipati picha angelikuwa muingereza au mbrazili angeimbwa sana na kupewa tuzo, but from Africans tusitegemee kipya[emoji23]


Mfano kwa Gaucho, kwangu mimi jj okocha alikuwa anajuwa zaidi ya gaucho kwa kipindi kile, na ndie amejifunzia kwake(okocha ni mwalimu wa gaucho) lakini hakuimbwa.


Wafanye wafanyavyo, Salah is no 1.
Mbona Okocha ametrend vizuri tu
 
hizo namba haziko sawa.

Salah ana 6 goals + 3 assist katika mechi 7 alizocheza mwezi September.( Nadhani wamechukua mechi za EPL, UCL labda na Carabao)

Ronaldo ana 3 goals katika mechi 4 alizocheza kwenye mwezi huohuo.( Hapa Nadhani wamechukua mechi za EPL na Carabao)

Kwanini upande wa Ronaldo hawajajumlisha na mechi za UCL.??
Kama wangechukua na mechi za UCL Ronaldo angekuwa na Goals 5.

Hata hivyo tukumbuke.
mshindi wa tuzo hii huwa anapatikana kwa kupigiwa Kura., Kama sikosei na mashabiki.( Kwa kuangalia hilo Ronaldo lazima angeshinda tuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
We nae, hii ni mchezaji bora wa premier league kwa mwezi...carabao, UEFA havihusiki hapa...
 
Hivi huyo Ronaldo kafanya lipi kumzidi MO mwezi uliopita?
 
Kama Carabao na UEFA hazihusiki. Basi Kwa mwezi September Salah hajafikisha Hizo goals na assists.

Kama sijakosea ana Goals 3.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hapo....statistics
IMG_20211009_100433.jpg
 
Wengine tunalia mbona bruno fernandez hajapewa
 
mnatakiwa muelewe kuwa wamelenga mechi za ligii tu achaneni na carabao, UEFA Champions league kwa mwez September Ronaldo ana deserves
 
Shida yenu ni moja katika hii debate ya POTM, kwani hamjui kuwa kura ndiyo zinaamua mshindi?

Je, unayelalamika uliingia kwenye website ya PL kumpigia kura mchezaji unayedhani alistahili kushinda?

Sasa kama hukuchangia 10% ya kura za mashabiki usitegemee Maguire kumpigia kura Salah.
 
Salah robbed
Tulia dawa iingie vizuri.

Statistically wote kwa mwezi September wapo sawa masuala ya performance za uwanjani apart from attacking returns hayana msaada kwenye tuzo za wanaume watu wanaangalia namba. Sasa kwenye magoli wapo sawa ila kwenye kura Salah hawezi kumpiga bao Ronaldo. Ile 10% United fans + Ronaldo fans wameitendea haki.
Screenshot_20211009-202319_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom