NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Naaaam, baada yakumaliza ubishi Kati ya Kennedy musonda na Jean claud van Damme wa kongo yaani baleke. Sasa tutizamie Nani fundi wa mpira Kati ya Sawadogo na Mudathiri pale dimba la Kati?
Simba wamelamba dume au yanga wamelamba dume??
Ni usajili gani umelipa Kati ya Sawadogo kwa upande wa simba na Mudathiri yahya kwa upande wa yanga.
Nini maoni yako.
Simba wamelamba dume au yanga wamelamba dume??
Ni usajili gani umelipa Kati ya Sawadogo kwa upande wa simba na Mudathiri yahya kwa upande wa yanga.
Nini maoni yako.