Wakati wa nyuma kanisa lilikuwa na nguvu juu ya serikali, kwamba lazima serikali itokane na mifumo na watu wa kanisa. Hiyo ilikuwa Old world Order.
Katika New world order ambayo ipo njiani inakuja, Serikali itakuwa juu ya kanisa kwa kupanga na kuamua taratibu zote za kidini au hata kuondosha kabisa dini zote.