Kati ya Shilole (Shishi Baby) na Juma Jux (African Boy) nani mkali zaidi?

Kati ya Shilole (Shishi Baby) na Juma Jux (African Boy) nani mkali zaidi?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale wasiofahamu nyimbo zao nimewaandikia ili mkazisikilize huko YouTube.

SHILOLE
1. Lawama
2. Nakomaa na jiji
3. Ukintekenya
4. Chuna buzi
5. Nikagongee
6. Paka la bar
7. Sitaki mazoea
8. Amsha popo
9. Pindua meza
10. Mama ntilie

JUX
1. Nitasubiri
2. Lucky now
3. Sing for you
4. Mapepe
5. I love you
6. My mind
7. Kitanda
8. Nidhibiti
9. Simuachi
10. Only you I see
 
Yaani unashindanisha pilipili na chumvi kisa vyote vinawekwa kwenye chakula? Nachelea kusema akili yako nd... au basi
 
Shishi mzk hajui labda tumweke kundi la mshangazi wa kulea viben ten
 
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale wasiofahamu nyimbo zao nimewaandikia ili mkazisikilize huko YouTube.

SHILOLE
1. Lawama
2. Nakomaa na jiji
3. Ukintekenya
4. Chuna buzi
5. Nikagongee
6. Paka la bar
7. Sitaki mazoea
8. Amsha popo
9. Pindua meza
10. Mama ntilie

JUX
1. Nitasubiri
2. Lucky now
3. Sing for you
4. Mapepe
5. I love you
6. My mind
7. Kitanda
8. Nidhibiti
9. Simuachi
10. Only you I see
Unamfananisha Jux na Shishi kimziki, seriously!🤣🤣
 
Jamaa unazarau kinoma yani Jux unamlinganisha na shilole kimuziki "Najua kuna vingi we husemi kwangu mimi sio mbayaa kwangu mm sio mbaya"
 
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale wasiofahamu nyimbo zao nimewaandikia ili mkazisikilize huko YouTube.

SHILOLE
1. Lawama
2. Nakomaa na jiji
3. Ukintekenya
4. Chuna buzi
5. Nikagongee
6. Paka la bar
7. Sitaki mazoea
8. Amsha popo
9. Pindua meza
10. Mama ntilie

JUX
1. Nitasubiri
2. Lucky now
3. Sing for you
4. Mapepe
5. I love you
6. My mind
7. Kitanda
8. Nidhibiti
9. Simuachi
10. Only you I see
Tangu lini Shishi ni malkia wa bongo fleva na Jux ni underground?
 
Jux, katoka kati ya mwaka 2008 au 2009, 2010 ila mpaka Leo bado ni Underground 😂😂 basi mwambino nae bado ni Underground maana nae katoka 2008 na kamwambie🤣
 
Tumalize huu ubishi ulioenea mtandaoni. Je, kati ya malkia wa bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby na msanii chipukizi (underground) anayeheshimika Juma Jux nani mkali zaidi?
Kwa wale wasiofahamu nyimbo zao nimewaandikia ili mkazisikilize huko YouTube.

SHILOLE
1. Lawama
2. Nakomaa na jiji
3. Ukintekenya
4. Chuna buzi
5. Nikagongee
6. Paka la bar
7. Sitaki mazoea
8. Amsha popo
9. Pindua meza
10. Mama ntilie

JUX
1. Nitasubiri
2. Lucky now
3. Sing for you
4. Mapepe
5. I love you
6. My mind
7. Kitanda
8. Nidhibiti
9. Simuachi
10. Only you I see
Shishi ni mkali zaidi maana kamfunika jux kuanzia followers na Ngoma Kali...
Ngoma ya shilole Nakomaa na Jiji ni Sawa na Ngoma 10 za jux
 
Back
Top Bottom