Kati ya single mama na Asiekuwa na mtoto Nani anafaa

Kati ya single mama na Asiekuwa na mtoto Nani anafaa

Prince kelly

Member
Joined
Aug 29, 2017
Posts
43
Reaction score
44
Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli nilimpenda Ila alikuja nisaliti kwa mshikaji mmoja akampiga na mimba juu akanimwaga chini kwa madharau na kejeli.
Aliponiachaa niliumia balaa maana nilimpenda Na ndie alikuwa msichana Wangu wa kwanza na nilikuwa na dream nae tukaachana. Apo takribani mwaka Mpaka akajifungua mtoto wa kike Mimi kweli iliniwia vigumu kumsahau Ila nikaja mpata another girlfriend nikiwa chuo tumuite linda , so far Linda tulianzisha mahusiano tukapendana sasa nilipokuwa nakaribia maliza chuo prisca akawa ananitafuta akinammbia amejuta kuniachaa na anataka kurudiana nami eti jamaa ake aliemzalisha awaelewani so wameachana Anaomba nafasi turudiane…

For that time apo nilikuwa nipo na uyu girlfriend linda alikuwa annipenda ila kutokana nilikuwa bado nampenda first girl nikajikuta nipo nao wawili sasa nikawa nashindwaa nibaki na yupi maana x alipo rudi amekuja nigandaa ataki nipa space kabisa so am in dillema which to choose I need advice
 
Anayekidhi vigezo vyako, ndiye sahihi kumuoa mkuu. So, sikiliza moyo wako, then choose wisely.

Ila on my point of view, achana na Prisca, komaa na Linda. Kilichomrudisha Prisca, sio upendo wake kwako, Bali ni manyanyaso anayopewa na mzazi mwenzie. Siku mzazi mwenzie akimtaka, hata kama ni usiku wa manane, atamfata
 
Anayekidhi vigezo vyako, ndiye sahihi kumuoa mkuu. So, sikiliza moyo wako, then choose wisely.

Ila on my point of view, achana na Prisca, komaa na Linda. Kilichomrudisha Prisca, sio upendo wake kwako, Bali ni manyanyaso anayopewa na mzazi mwenzie. Siku mzazi mwenzie akimtaka, hata kama ni usiku wa manane, atamfata
Point of u're view is white clear,Mtoa ma da kazi kwake.
 
Anayekidhi vigezo vyako, ndiye sahihi kumuoa mkuu. So, sikiliza moyo wako, then choose wisely.

Ila on my point of view, achana na Prisca, komaa na Linda. Kilichomrudisha Prisca, sio upendo wake kwako, Bali ni manyanyaso anayopewa na mzazi mwenzie. Siku mzazi mwenzie akimtaka, hata kama ni usiku wa manane, atamfata
Auchukue huu ushauri utamsaidia
 
Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli nilimpenda Ila alikuja nisaliti kwa mshikaji mmoja akampiga na mimba juu akanimwaga chini kwa madharau na kejeli.
Aliponiachaa niliumia balaa maana nilimpenda Na ndie alikuwa msichana Wangu wa kwanza na nilikuwa na dream nae tukaachana. Apo takribani mwaka Mpaka akajifungua mtoto wa kike Mimi kweli iliniwia vigumu kumsahau Ila nikaja mpata another girlfriend nikiwa chuo tumuite linda , so far Linda tulianzisha mahusiano tukapendana sasa nilipokuwa nakaribia maliza chuo prisca akawa ananitafuta akinammbia amejuta kuniachaa na anataka kurudiana nami eti jamaa ake aliemzalisha awaelewani so wameachana Anaomba nafasi turudiane…
For that time apo nilikuwa nipo na uyu girlfriend linda alikuwa annipenda ila kutokana nilikuwa bado nampenda first girl nikajikuta nipo nao wawili sasa nikawa nashindwaa nibaki na yupi maana x alipo rudi amekuja nigandaa ataki nipa space kabisa so am in dillema which to choose I need advice
Huyo singo maza ni malaya mkuuu

Baki na new girl jifunze ku move on utanishukuru baadae

Ukigeuka nyuma we utakuwa ni jiwe la chumvi 😄😄
 
Sikiliza moyo wako mkuu,ila kwa singo maza nisawa na kuchambia rambo mkuu yaan unajipakaza mavi mwenyewe..
 
Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli nilimpenda Ila alikuja nisaliti kwa mshikaji mmoja akampiga na mimba juu akanimwaga chini kwa madharau na kejeli.
Aliponiachaa niliumia balaa maana nilimpenda Na ndie alikuwa msichana Wangu wa kwanza na nilikuwa na dream nae tukaachana. Apo takribani mwaka Mpaka akajifungua mtoto wa kike Mimi kweli iliniwia vigumu kumsahau Ila nikaja mpata another girlfriend nikiwa chuo tumuite linda , so far Linda tulianzisha mahusiano tukapendana sasa nilipokuwa nakaribia maliza chuo prisca akawa ananitafuta akinammbia amejuta kuniachaa na anataka kurudiana nami eti jamaa ake aliemzalisha awaelewani so wameachana Anaomba nafasi turudiane…

For that time apo nilikuwa nipo na uyu girlfriend linda alikuwa annipenda ila kutokana nilikuwa bado nampenda first girl nikajikuta nipo nao wawili sasa nikawa nashindwaa nibaki na yupi maana x alipo rudi amekuja nigandaa ataki nipa space kabisa so am in dillema which to choose I need advice
Singo maza labda mzazi mwenzake awe amekufa kwa ajali au magonjwa yasiyo ya kuambukiza ila kama bado yupo hai achana nae utakuja nishukuru... wengi nibpasua kichwa, labda ubahatike... ambaobhawajazaa unaenda anzisha utawala wako oama alivyoganya simba bob junior... jenga himaya yako, sio unaenda kujenga himaya ktk himaya ya mwanaume mwenzako... mwanaume ni kujenga himaya yako, mwanamke akuzalie mtoto wa wake wa kwanza...
 
Hajarudi kwakuwa anakupenda ila amerudi kwako kwakuwa anajua ulikuwa unampenda Sana.

Hebu fikiria kipindi kile alivyokusaliti na kuleta dharau pindi anapotoka na huyo jamaa.Alafu sasahivi kashafanya naye mengi.Unafikiri atashindwa kukucheat Tena.

Fikiria maisha Yako kuishi na mtoto sio wako.Kila ukitaka kumrekebisha mtoto itaonekana unamuonea.

Fikiria kulipa ada ya mtoto asiyekuhusu.

Fikiria Baba wa mtoto kuwasiliana na mke wako Kwa kisingizio Cha kutaka kuongea na mtoto wake.

Kwanini uchukue gari used wakati zipo mpya achana na huyo mwanamke prisca Baki na Linda.

##Ukiona wenzako wametumia kitu na kukiacha ujue wamekiona hakina thamani Tena.
 
Hajarudi kwakuwa anakupenda ila amerudi kwako kwakuwa anajua ulikuwa unampenda Sana.

Hebu fikiria kipindi kile alivyokusaliti na kuleta dharau pindi anapotoka na huyo jamaa.Alafu sasahivi kashafanya naye mengi.Unafikiri atashindwa kukucheat Tena.

Fikiria maisha Yako kuishi na mtoto sio wako.Kila ukitaka kumrekebisha mtoto itaonekana unamuonea.

Fikiria kulipa ada ya mtoto asiyekuhusu.

Fikiria Baba wa mtoto kuwasiliana na mke wako Kwa kisingizio Cha kutaka kuongea na mtoto wake.

Kwanini uchukue gari used wakati zipo mpya achana na huyo mwanamke prisca Baki na Linda.

##Ukiona wenzako wametumia kitu na kukiacha ujue wamekiona hakina thamani Tena.
Nimeelewa kaka
 
Yaani nimerudiana nae ni analazimishaaa ndoa Kama Nini maana kipindi nipo chuo sikuwa na maishaa sasa sahv mambo sio mabaya kiivo sasa ananibana anipi space kabisa
Achana na single mother maana baba mtoto bado Yuko hai, Dili na Linda.
 
Tumia fursa kulipa kisasi yani huundomda wakupiga show zakimauaji,mdaa wakujaribu ufirauni ndio huo sasa ila sikushauri ,style yoyote mpya inayokujia kichwani au kuiona ndiopakufanyia mazoezi, ila hakikisha hapati mimba naakipata achana nae Lea tuu mwanao atakuja nakwangu mwendo niuleule mpaka anyooke sababu hawa viumbe wanao itwa single mother nihatari sana
 
Achana na Single moms! Utaishi na complications dunia nzima, Mostly aren't stable emotionally.

We jamaaa umeongea point saaana na wengine ni Kama mataaahira Fulani hivi halafu unakuta mkikaaa kutwa kumuongeleaa baba watt wake hopeless kabisa
 
Yaani nimerudiana nae ni analazimishaaa ndoa Kama Nini maana kipindi nipo chuo sikuwa na maishaa sasa sahv mambo sio mabaya kiivo sasa ananibana anipi space kabisa
Kuwa jasiri mwambie hautoweza kuwa naye.
Kama alikusaliti zamani, nini kitamzuia kukusaliti utakapoyumba tena?
 
Back
Top Bottom