Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha bas ufukuaj wa makabur ungesubr adanganye danganye kidogo umemuwah mapema atakimbia uzi
acha bas ufukuaj wa makabur ungesubr adanganye danganye kidogo umemuwah mapema atakimbia uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo alioa usingizini?Usishangae wengine huwa wanaoa usingizini kabla ya kupost au huwa wanasahau kuwa wameshapost!
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawezi kukimbia uzi,anakuja[emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeweka picha zao hapa kwanza!Nipo njia panda,single maza nmempenda sana na ana sifa zote za kuitwa mwanamke!!
Kikwazo ni ndugu wamenambia nioe kwingne ambae hana mtoto!!!!
NB.Single maza kashanzalia mtoto mmoja
wadau naomben msaada wenu wa kimawazo
Alioa usingizini then akasahau kuwa ameshapost uzi kuwa ameoa, hivyo leo kapost tena kuomba ushauriKwa hiyo alioa usingizini?
Alioa usingizini then akasahau kuwa ameshapost uzi kuwa ameoa, hivyo leo kapost tena kuomba ushauri
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
HahahahAlioa usingizini then akasahau kuwa ameshapost uzi kuwa ameoa, hivyo leo kapost tena kuomba ushauri
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
Nipo njia panda,single maza nmempenda sana na ana sifa zote za kuitwa mwanamke!!
Kikwazo ni ndugu wamenambia nioe kwingne ambae hana mtoto!!!!
NB.Single maza kashanzalia mtoto mmoja
wadau naomben msaada wenu wa kimawazo