Kati ya single maza mwenye chura na mschana mdogo nimuoe nan???

Kati ya single maza mwenye chura na mschana mdogo nimuoe nan???

Fuata moyo wako we ndio unauwamuzi maisha ni yako nasio ya ndugu zako.
 
Oa wote kama rolemodel wetu dr Mwaka ..kama inakubidi uoe mmoja basi mwenye chura ndio anapata kura za mabaharia.

Tabia na hela watatumia zako kikubwa ni chura
 
Maamuzi unayo wewe mwenyewe kuna mambo mengine mtu unatakiwa kujiongeza tu.
 
Single maza mnawaponda sana!! mbna mim mnanshaur nioe??
 
Oa hako kasichana ka 19 kakutoe jasho.. vitoto vya sasa ivi vinawaza kupost insta tuu.

Utarudi upost uzi wa manyanyazo kesho tuu.

Mwananke aliye zaa hana zaidi ya kumtunza mtoto na mume wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oa hako kasichana ka 19 kakutoe jasho.. vitoto vya sasa ivi vinawaza kupost insta tuu.

Utarudi upost uzi wa manyanyazo kesho tuu.

Mwananke aliye zaa hana zaidi ya kumtunza mtoto na mume wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vip kuhusu changamoto za mahusiano ya kimapenz na mzaz mwenzie?? hebu nifafanulie mkuu!!
 
Maskini single mother keshakuzalia umuache ni mwanaume nani atafikiria single mother mwenye watoto wawili wa baba tofauti?! Bora mwenye mtoto mmoja. Umemzalisha halafu umponde eti single mother wakati usingle mother umemwongezea wewe?! Ufuate msichana mdogo ye ndo anataka mwanaume alozaa na mwanamke mwingine?! Oa mwanamke ulomzalisha, Ndugu wanamaisha yao usiwashilikishe kwenye maamuzi ya maisha yako
 
Maskini single mother keshakuzalia umuache ni mwanaume nani atafikiria single mother mwenye watoto wawili wa baba tofauti?! Bora mwenye mtoto mmoja. Umemzalisha halafu umponde eti single mother wakati usingle mother umemwongezea wewe?! Ufuate msichana mdogo ye ndo anataka mwanaume alozaa na mwanamke mwingine?! Oa mwanamke ulomzalisha, Ndugu wanamaisha yao usiwashilikishe kwenye maamuzi ya maisha yako
Noted
 
Hii ni picha ambayo inazunguka whatsapp. Fanya ambalo moyo wako.unakutuma.
IMG-20211106-WA0035.jpg
 
Nipo njia panda,single maza nmempenda sana na ana sifa zote za kuitwa mwanamke!!

Kikwazo ni ndugu wamenambia nioe kwingne ambae hana mtoto!!!!

NB.Single maza kashanzalia mtoto mmoja
wadau naomben msaada wenu wa kimawazo
Wewe weeee ogopa laana yaani mtu kakuzalia unaoa pengine acha dhambi mwoe single mother
 
Back
Top Bottom