Kati ya Spika mstaafu Pius Msekwa na Spika Dkt. Tulia nani anasema ukweli kuhusu Ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18?

Ninavyo elewa mimi spika angewasimamisha kuhudhuria vikao vya bunge hawa wabunge 19 mpaka pale mahakamu kuu itakapotoa maamuzi .......over
 
Ninavyo elewa mimi spika angewasimamisha kuhudhuria vikao vya bunge hawa wabunge 19 mpaka pale mahakamu kuu itakapotoa maamuzi .......over
Angewaondoa bungeni. Halafu wakishinda kesi wanarudishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…