Kati ya Sumbawanga na Singida Mji upi unafaa zaidi kiutafutaji na Kuishi?

Wewe ni kabila gani?
Huko kwenu hakunaga roho mbaya?
Mpaka unarecomend mwenzio aende ina maana ulineemeka, na huwezi neemeka bila mahusiano mazuri na wenyeji, kama uliishi salama na kutoka salama panafaa kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app

ukitaka kuijua nchi na watu kaishi maeneo ya vijijini ukikaa mijini utaona kila kitu kipo vizuri,
 

Nachojua mimi Singida kuna totozi kali sana,changamkia fursa mkuu


Sent using IPhone X
 
Wewe ni kabila gani?
Huko kwenu hakunaga roho mbaya?
Mpaka unarecomend mwenzio aende ina maana ulineemeka, na huwezi neemeka bila mahusiano mazuri na wenyeji, kama uliishi salama na kutoka salama panafaa kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiondoi ukweli wafipa wana roho mbaya
 
Ardhi ya sumbawanga imechoka?!! Ambako watu bado wanaweza lima mazao bila mbolea na wakavuna?!! Sumbawanga mvua za wasiwasi?? Hujawahi ishi huko, mimi mkoa mzima wa rukwa, na katavi nimetembea, naweza kusema ktk mikoa ya TZ, ambayo bado ina ardhi nzuri ya kilimo ni hiyo, na mvua za uhakika.
 
Wasukuma wengi wapo mpanda,Katavi.
Hiyo ya wenyeji kuwa na roho mbaya imekaaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
hili la roho mbaya kwa wenyeji lipo mikoa yote kasoro pwani na dar es salaam ambako wenyeji wameuza maeneo yao na kukimbilia mbali.
mji ukiwa na taa tu wamatumbi wanahama na kuingia mbali na mji
 
that is history, the only place in rukwa where you need a minimal use of fertiliser ni bondeni kandokando ya ziwa rukwa. kwingine kote ni majanga. white wizard, ninajua ninachokiandika
 
that is history, the only place in rukwa where you need a minimal use of fertiliser ni bondeni kandokando ya ziwa rukwa. kwingine kote ni majanga. white wizard, ninajua ninachokiandika
Lini hiyo, wakati mimi hadi leo kuna maeneo mengi wanalima bila mbolea, huko kote, kaoze, muze,,ambao. Ni ukanda wa ziwa rukwa, katavi ndio kabisa!! Asilimia karibu 80 halimaji mpunga hawajui mbolea kabisa, hiyo mikoa bado ina neema sana kwenye kilimo
 
Kuishi Dar labda maisha yanichagulie vinginevyo sipapendi kwa joto na uchafu na uwingi wa watu..Nimekaa huko miaka 4 kuanzia 2012-2016 saizi nikija ni kwenye shughuli maalum
Ulikua unakaa manzese au tandale mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…