Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Wewe ni kabila gani?
Huko kwenu hakunaga roho mbaya?
Mpaka unarecomend mwenzio aende ina maana ulineemeka, na huwezi neemeka bila mahusiano mazuri na wenyeji, kama uliishi salama na kutoka salama panafaa kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
ukitaka kuijua nchi na watu kaishi maeneo ya vijijini ukikaa mijini utaona kila kitu kipo vizuri,