Kati ya supu zote unapendelea ipi?

Kati ya supu zote unapendelea ipi?

ooohh dear
samahani sana mpendwa..
si wajua tena mie ndo lawyer maeneo haya..
kazi imenizidia dear hahahahahah lol

we waendeleaje mpendwa??
Dear,mpendwa,dear,mpendwa si muende ki-Youtube nasi tufaidi nyimbo ?
 
supu ya konokono...unabisha kawaulize korean,chinese na japanise..watakwmbia ilivyo tamu.
 
Asante Mkuu....😛oa

hahahaha lol
naona Uporoto alikuwa busy siku ile
ku download nyimbo tulizokuwa tunarushiana dear
hahahaha lol

ndo maana anataka turudi you tube tena ..
mmmhh mnanipaga raha sana humu ..lol
 
Usijali nitakubembeleza..............
mmmhh sasa twaongea lugha moja
hahahah lol:clap2:

I'd still embrace it for I know that in between those thorns, there is a rose that's worth all the pain.

nimeipenda signature yako sana dear ..
katamu, kadogo , kametulia, lakini maneno yana vina vikubwa sana
 
afrondezi umepotea? kunani?

mie niko kabisa mpedwa..
wewe ndo sijui umezamia wapi tena..
ulienda kuogelea nini ??

maana yale maji ya pela darajani mtu akizama
chini haoneka
jinsi yalivyo kuwa masafiiii ..
hahahahah lol

Vipi BB wangu u mzima lakini??
 
Back
Top Bottom