Kati ya supu zote unapendelea ipi?

Kati ya supu zote unapendelea ipi?

hahahaha lol
naona Uporoto alikuwa busy siku ile
ku download nyimbo tulizokuwa tunarushiana dear
hahahaha lol

ndo maana anataka turudi you tube tena ..
mmmhh mnanipaga raha sana humu ..lol

Hata mimi niliburudika sana that was one of the best days in my JF Life....., Please Tuje Tukumbushie one of these days pick up where we left off...., ofcourse if you dont mind...na kama watu wenye thread zao hawatamind
 
Hata mimi niliburudika sana that was one of the best days in my JF Life....., Please Tuje Tukumbushie one of these days pick up where we left off...., ofcourse if you dont mind...na kama watu wenye thread zao hawatamind

mmmhh sikujua unapenda test yangu ya music kiasi hicho dear haahah lol
hamna neno kabisa mpendwa tutafanya tena ..
ila ku thread naianda kwa ajili ya mambo matanmu matamu kama hayo
ili tusichakachue za watu ..
tusubirie yangu au we ukitoa kabla yangu dear ..
au waonaje??
 
Hata mimi niliburudika sana that was one of the best days in my JF Life....., Please Tuje Tukumbushie one of these days pick up where we left off...., ofcourse if you dont mind...na kama watu wenye thread zao hawatamind

halafu naona black and white
imerudi kwenye fashion hahah lol


 
Nyie wote mmepotea njia SUPU YA GOGO LA BUCHANI ile ndo mwisho wa yote, hasa liwe lina experience ya kama miaka 5 na zaidi maana nyama tofauti tofauti zimekatwa juu yake, sikui kikombe, sijui nundu sijui mbavu so ile mixer yake halafu lile gogo likachemswa huo mseto wake balaaaa hahahahahahahahahahahahahahah
Ama kweli hyo itakua bonge la supu ukinywa lazima miguu ilegee.
 
mmmhh sikujua unapenda test yangu ya music kiasi hicho dear haahah lol
hamna neno kabisa mpendwa tutafanya tena ..
More than you can imagine....., Kama ungeweza kuona tabasamu nililotoa, kusingekuwa na haja ya kuuliza, tawaomba JF waweke smilies zenye body language ya kuelezea furaha yangu sababu hii hainitendei haki:smile-big::smile-big::smile-big:
 
kama ni supu halisi zinazungumiza hapa mim napenda sana supu ya kuku wa kienyegi, tena ukipata kidari iliyochemshwa ikalainika vizuri na pilipili aah sio mchezo lazima jasho litakutoka.
 
watu hawajua utamu wa supu ya maharage. Wanakimbilia supu za nyama.
Husninyo maharagwe yapikwe na mtaalamu loh utapenda bwana.
Husninyo jina lako kila nikikutana nalo hapa jamvini roho yangu hupaa hunikumbusha mwenye jina kma lako.sorry ni hisia 2 na c zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom