Kati ya TEC na BAKWATA, nani kasimamia vyema maslahi ya nchi katika sakata la DP WORLD?

Kati ya TEC na BAKWATA, nani kasimamia vyema maslahi ya nchi katika sakata la DP WORLD?

Swali hili litajibiwa kiitikadi zaidi ya uhalisia, lakini nadhani walikua na maoni tofauti, TEC walitoa walicho amini kwamba mkataba haufai unatakiwa kuvunjwa na kuanza upya, lakini BAKWATA walikuja kuongelea maoni ya TEC na walikua kidini zaidi kuliko kujadili mkataba na kilichomo ndani
Hivi BAKWATA wametoa neno lolote jamani?

Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.

Hivi chuki hizi dhidi ya hii dini zitaisha lini?
 
Wote wana agenda za Siri, TEC, wamekuwa wakipokea pesa za, "sadaka" Kutoka kwa mafisadi waliokuwa na tender bandarini waliorimuliwa, TICS.

Hawa TEC walikuwa wapi wakati majizi ya IPTL yalivyogawana pesa za, umma kama njugu, Rugemalila(mkatoriki na mtoa sadaka Sana) na, kina Tibaijuka.

TEC knachiwauma ni kunyanganywa, tonge mdomoni, walikuwa wanafaidika na majizi(makristo) kule bandarini.
Hawa bakwata, akili hakuna kwanza hawana elimu ya kutosha kuuelewa, mkataba, kinachowakereketa ni uislam na uarab.

Rais aliyepo muislam,wanaotaka kupewa bandari ni Arabs, mbele ya uarabu,WA Islam weusi ni kama mbwa kwa chatu, Hawa bakwata, wamejaa hisia za, dini,kuona muislam, mwenzao, anashambuliwa.
Acha ujinga,
 
Wote wana agenda za Siri, TEC, wamekuwa wakipokea pesa za, "sadaka" Kutoka kwa mafisadi waliokuwa na tender bandarini waliorimuliwa, TIC.
Nasema upewe maua yako such an unbiased mind.

Ingekua watu wote tunatazama mambo hivi hii nchi ingefika mbali.
 
Hello JF.

Katika purukushani za kusimamia ulinzi na usalama wa maliasili za nchi yetu, tulisikia hoja nyingi kutoka kila kona ya nchi.

Mojawapo ni ni mchapano wa Mabaraza haya mawili, Baraza la Maaskofu, TEC lililoleta hoja kali kinzani kwa serikali.

Pili, Baraza Kuu kabisa la Waislamu Tanzania nao wakatoa Neno lao la Hekma!!

Nini maoni yako juu ya matamko ya haya mabaraza mawili?
Kuna wale wengine walisimamia Ubwabwa tu.😆😆
 
Bakwata hawajawahi kuwaza wala kufukiria mambo kwa upana kuhusiana na masilahi ya waislam wala taifa wao wamewekwa kama bortion tu ili kuwapumbaza waisala, hao Tec nao akili zao zinawaza kulinda maslahi ya kanisa tu na sio kutetea maslahi ya nchi.Wote hatuna msaada nao kwa maslahi ya taifa hata wakifa kesho nchi haitapata hasara.
 
Back
Top Bottom