Naweza kukubaliana na wewe. Na yawezekana hata huyu mtangazaji ni wa aina hiyo.England inachukiwa wana mpira wa mdomoni sio kwenye pitch..., Brazil ilikuwa favourite ya wengi hususan generation zilizokuwa zinamtambua au kumsikia Pele as well as aina ya mchezo wao ni wa kuvutia.., England na mashabiki wao walevi na hooligans people love to hate them...
Acha kukariri,hiyo Brazil yako tangu ichukue ubingwa mwaka 2002 miaka iliyofuata 2006, 2010, 2014, 2018 hakuna maajabu yoyote iliyofanya. Kuna kizazi kimeongezeka cha 2000 ambapo wakati brazil wanachukua ubingwa (2002) hawakuwa na idea yoyote na soccer lakini sasa wana miaka 20+.Heh, hivi mara yako ya kwanza kuangalia kombe la soka la dunia ilikuwa mwaka gani?
Naskia wadada wanampenda sana Neymar
Tupo pamoja hapo the three lionsMimi naipenda Sana England huku nikijua fika kuwa ubingwa hatuchukui
BongoWadada wa wapi? Bongo au?
Hizi ni timu za taifa za soka. Pana mtangazaji pale Clouds FM aitwae Lwambano, sijui utafiti huwa anaufanya vipi, yeye anaamini ligi ya England ndio inapendwa zaidi eti duniani na hii huwa anaisemasema.
Leo kaja na timu ya taifa ya England eti inapendwa. Kwa kweli kanichanganya na kujiuliza hivi Brasil inaionaje? Ukiachilia tu timu ya nchi yake yaani Tanzania?