Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Hizi ni timu za taifa za soka. Pana mtangazaji pale Clouds FM aitwae Lwambano, sijui utafiti huwa anaufanya vipi, yeye anaamini ligi ya England ndio inapendwa zaidi eti duniani na hii huwa anaisemasema.
Leo kaja na timu ya taifa ya England eti inapendwa. Kwa kweli kanichanganya na kujiuliza hivi Brasil inaionaje? Ukiachilia tu timu ya nchi yake yaani Tanzania?
Leo kaja na timu ya taifa ya England eti inapendwa. Kwa kweli kanichanganya na kujiuliza hivi Brasil inaionaje? Ukiachilia tu timu ya nchi yake yaani Tanzania?