Kama uwezo wa kujaza wese ni uhakika komaa na brevis,sababu engine kubwa pia maana yake maisha marefu, hizi gari zenye engine ndogo maisha yake hua sio ya muda mrefu saana.
Nilinunua Cresta mwaka 2008(1G-FE beams,2.0L,6 clyinders),baadae madalali wakaanzisha story za jini mafuta sijui nini lkn ile gari ilikua ni the best na haikuwahi kua na magonjwa aisee, ingawa wese kila mwezi nilikua natumia 400,000 (mafoleni) nikiwa dar lkn nikiwa mikoani ilikua 250,000 kwa mwezi.
Isingekua kupiga nayo mzinga 2015 ile gari nisingeiuza maisha yote maana ilikua ni back up car ya uhakika,any time any where.Na wkt inakula mzinga ilikua inasoma Km 267,000 lkn haikuwahi kua na shida hata moja.
Kwa mtu anayetaka magari ya kudumu lkn akijua resell value yake itakua ni ndogo hayo magari yanayoitwa majini mafuta ndio muafaka kabisa.