mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Ahsante kiongozi,udadisi na maswali kuhusu brevis yamekua meengi maana kuna brevis inanitoa udenda,sasa nikisikia story napata wasi kidogo [emoji3]
Yaani chuma kiko vzr mkuu,kwa reliability iko fresh kabisa ila kua makini wasikushikishe 1JZ-FSE/2JZ-FSE hizo zenye 'D4' maana kuna watu zimewashinda kuzitunza/kimeo wanawasukumia watu wengine kwa bei chee.
Kama ni 1J-GE/2JZ-GE hio fresh tu, ingawa kwa mazingira yetu ya kawaida hio 1JZ-GE cc 2500(ai 250) inatosha kabisa kwa safari/mambio/misele.
Na kua makini sa hivi wajomba wenye brevis cc 3000 hua wanatoa ile label kule nyuma(Ai 300) na kupachika (Ai 250) ili kumdanganya mnunuaji kwamba ni CC 2500.