Kati ya Toyota Brevis na IST ipi inaweza kuishi miaka mingi?

Ahsante kiongozi 👏
 
Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia...
Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari...
Mkuu swala la kupitwa na gari ni mguu wako na woga wako kwenye kuendesha,hiyo IST unayosema ilifika 160 na bado ilikuwa mbele yako inawezekana mwenzio alikuwa kwenye 180 ambayo ni max.speed,wewe ukawa unaiogopa lakini hapo usingekuwa muoga ukazidi kukanyaga mafuta obvious ugeikuta,na hasa kwenye miinuko,yenyewe pale lazima ingekuwa inapoteza na wewe ungeicha...
 
Ile ngoma inachezea 6km/L mkuu.
umenishawishi niachane, niiweke pembeni Harrier (2003)
hili dude Brevis huwa linanifyeka barabara kn nimesimama, ila kwangu milimani
km Corona limeishusha bei kweli nitajitumbukiza
nihabarishe ajali iliyoipata hiyo Brevis na wewe ulikuwemo ndani? maana madhara yake haona ni kidogo kutokana na muundo wake, km vile halianguki hovyohovyo (stable sana barabarani)
 
Huo mchuma uko poa niliwahi kupiga nao masafa japo sikua dereva ila niliukubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye maisha Yangu hata iweje sitaweza kununua IST,vitz na passo. Sisi wabongo ni watu wa kukariri Sana unakuta mtu ananunua Passo eti Kwa ajili ya kubana matumizi bila kujua engine yenye cc ndogo ni majanga na huwa haiwezi kuvumilia Safar ndefu.
Safari ndefu ya wapi hizo gari zisifike?
Kwani una ndoto ya kumiriki gari moja tuu?
 
Kwenye maisha Yangu hata iweje sitaweza kununua IST,vitz na passo. Sisi wabongo ni watu wa kukariri Sana unakuta mtu ananunua Passo eti Kwa ajili ya kubana matumizi bila kujua engine yenye cc ndogo ni majanga na huwa haiwezi kuvumilia Safar ndefu.

Mkuu kila mtu anafanya jambo kwa uwezo wake na mapenzi yake pia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndio,sababu engine za mark X(3GR/4GR) zili replace IJZ/2JZ zinazopatikana kwny Brevis so hata kwny wese mark-x ina improvement lkn kwny reliability Brevis iko more reliable.
Ahsante kiongozi,udadisi na maswali kuhusu brevis yamekua meengi maana kuna brevis inanitoa udenda,sasa nikisikia story napata wasi kidogo 😀
 
Mkuu umesahau gari kwenda mbio ni ujasiri wa dreva sio chombo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…