Kati ya Toyota Brevis na IST ipi inaweza kuishi miaka mingi?

Ahsante kiongozi,udadisi na maswali kuhusu brevis yamekua meengi maana kuna brevis inanitoa udenda,sasa nikisikia story napata wasi kidogo [emoji3]

Yaani chuma kiko vzr mkuu,kwa reliability iko fresh kabisa ila kua makini wasikushikishe 1JZ-FSE/2JZ-FSE hizo zenye 'D4' maana kuna watu zimewashinda kuzitunza/kimeo wanawasukumia watu wengine kwa bei chee.

Kama ni 1J-GE/2JZ-GE hio fresh tu, ingawa kwa mazingira yetu ya kawaida hio 1JZ-GE cc 2500(ai 250) inatosha kabisa kwa safari/mambio/misele.

Na kua makini sa hivi wajomba wenye brevis cc 3000 hua wanatoa ile label kule nyuma(Ai 300) na kupachika (Ai 250) ili kumdanganya mnunuaji kwamba ni CC 2500.
 
4GR ili replace 1JZ-FE so ina improvents, hata kwny wese inakula vzr.
Sawa mkuu kwa uono wangu kabla sijaenda kwenye Crown, ngoja na mimi niendeshe yebo yebo za dsm nichukue 3S- (RS200) then Mark X halafu wakina EJ20 then huyo GRS180
 
Wakuu na mimi naomba kujulishwa kuhusu uimara wa Toyota Premio toleo la zamani (tangu mwaka 2000) kuhusu ulaji wa mafuta na upatikanaji wa vipuri maana kuna jamaa yangu analiuza nami nalitaka ila mimi siyo mtaalamu wa magari. kuhusu kipato changu ni cha kudunduliza maana nimejiajiri.
 
Nikucheck card ya gari kwanza kabla ya mambo yote sio
 
Hapana sikuwepo
 
Hio TX si ni diesel engine mkuu 1KD bila shaka, kuipata 160kph kwa diesel ni shughuli pevu kidogo. Mchanganyo wake sio kama wa Petrol maana ukiipa pedeli ni ndani ya sekunde kadhaa tu unakuwa umegusa 100! Ukikomalia chini unafuta kisahani ndani ya dakika 3 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…