Kati ya Toyota spacio na Toyota raum nichukue gari gani hapo?

Kati ya Toyota spacio na Toyota raum nichukue gari gani hapo?

wote wana engine ya 1NZ 1490cc Ambayo inatoa perfomance nzuri kwenye safari za mbali ukilinganisha na baadhi ya engine za 2NZ.

kuwa makini usije kushikishwa Spacio yenye engine ya 4A 1580cc hautakaa usijuane na mafundi.

kwa upande wangu Raum ipo vizuri engine inaendana na ukubwa wa body hivyo haitaweza pata Load kubwa ukilinganisha na spacio.

kwa space Spacio iko na space ya kutosha but hata raum pia wamejitahidi kwenye issue ya space.

napenda pia. milango ya nyuma ya Raum inavofunguka kama una mgonjwa inasaidia mno.
Mtoa mada kama utafuata ushauri huu nenda nayo hiyo raum
1NZ ni moja ya engine Bora za Toyota
 
Kwa ukubwa sawa wa engine, ukilinganisha na ukubwa tofauti wa body, naipa credit raum kuwa na fuel consumption ndogo kuliko spacio. Performance inategemea na utunzaji wako, ila kwa mtu mtunzaji wa gari, yote yako poa tu...labda tofauti ya ufungukaji wa milango, raum needs more care kwenye milango.

Kuna haja ya ku-opt out of toyota, hasa ukishakuwa mzoefu wa magari.
Hii milango sidhan kama ni issue sana coz ipo kwenye magari mengi mfano Porte, Noah, alphard, hiace, Sienta huko sijasikia malalamiko, Labda kama Kuna kitu kipo specific Kwa Raum tu.
 
Hii milango sidhan kama ni issue sana coz ipo kwenye magari mengi mfano Porte, Noah, alphard, hiace, Sienta huko sijasikia malalamiko, Labda kama Kuna kitu kipo specific Kwa Raum tu.
Aisee hiyo milango kwangu ni issue sana, hizo ulizotaja zote zinahitaji care sana. Mlango unaofunguka automatic unahitaji care sana, shida kidogo tu motor inakufa na unaanza kufunga kwa mkono.
 
Aisee hiyo milango kwangu ni issue sana, hizo ulizotaja zote zinahitaji care sana. Mlango unaofunguka automatic unahitaji care sana, shida kidogo tu motor inakufa na unaanza kufunga kwa mkono.
Milango Hainashida yoyote
 
Kama bara bara yako kuu ni lami basi nenda na Raum toleo jipya bongo ila kama ni changarawe sana nenda na spacial toleo jipya bongo.
 
Mengine siyajui ila nimeona kwa baadhi ya milango ya abiria ya Raum baada ya muda inasumbua.
 
Samahani mkuu naomba utolee maelezo ili nipate elimu itakayonisaidia. Asante mkuu.
Raum na Spacio zote gari nzuri sana kilichobaki hapo ni shape tu.

Spacio kwangu kubwa sana, unless niwe na familia kubwa napenda shape ya Raum.

Ila kuhusu ubora wa engine, unafuu wa service izo gari yoyote utakayochukua hautojuta.
 
Raum na Spacio zote gari nzuri sana kilichobaki hapo ni shape tu.

Spacio kwangu kubwa sana, unless niwe na familia kubwa napenda shape ya Raum.

Ila kuhusu ubora wa engine, unafuu wa service izo gari yoyote utakayochukua hautojuta.
Asante mkuu
 
Kwanza hizi gari zinarange shilling ngapi Yard za hapo Dasalama..?
 
Back
Top Bottom