PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mtoa mada kama utafuata ushauri huu nenda nayo hiyo raumwote wana engine ya 1NZ 1490cc Ambayo inatoa perfomance nzuri kwenye safari za mbali ukilinganisha na baadhi ya engine za 2NZ.
kuwa makini usije kushikishwa Spacio yenye engine ya 4A 1580cc hautakaa usijuane na mafundi.
kwa upande wangu Raum ipo vizuri engine inaendana na ukubwa wa body hivyo haitaweza pata Load kubwa ukilinganisha na spacio.
kwa space Spacio iko na space ya kutosha but hata raum pia wamejitahidi kwenye issue ya space.
napenda pia. milango ya nyuma ya Raum inavofunguka kama una mgonjwa inasaidia mno.
Changia hivyohivyo utakumbukwa kwenye lift.Tusio na gari huu uzi hautuhusu
Nenda na spacio ,raum milango inazingua ,hata bei kuagiza na mkononi spacio iko juu,engine zote zinatumia 1nz ,angalizo kuna spacio zina engine 1zz hizo zinakula mafutaMsaada wataalamu
Chukuwa Toyota SpacialMsaada wataalamu
Hii milango sidhan kama ni issue sana coz ipo kwenye magari mengi mfano Porte, Noah, alphard, hiace, Sienta huko sijasikia malalamiko, Labda kama Kuna kitu kipo specific Kwa Raum tu.Kwa ukubwa sawa wa engine, ukilinganisha na ukubwa tofauti wa body, naipa credit raum kuwa na fuel consumption ndogo kuliko spacio. Performance inategemea na utunzaji wako, ila kwa mtu mtunzaji wa gari, yote yako poa tu...labda tofauti ya ufungukaji wa milango, raum needs more care kwenye milango.
Kuna haja ya ku-opt out of toyota, hasa ukishakuwa mzoefu wa magari.
Aisee hiyo milango kwangu ni issue sana, hizo ulizotaja zote zinahitaji care sana. Mlango unaofunguka automatic unahitaji care sana, shida kidogo tu motor inakufa na unaanza kufunga kwa mkono.Hii milango sidhan kama ni issue sana coz ipo kwenye magari mengi mfano Porte, Noah, alphard, hiace, Sienta huko sijasikia malalamiko, Labda kama Kuna kitu kipo specific Kwa Raum tu.
Naongelea nikijuachoKwahyo achukue Raum kwa sababu wewe ulikua nayo?
Milango Hainashida yoyoteAisee hiyo milango kwangu ni issue sana, hizo ulizotaja zote zinahitaji care sana. Mlango unaofunguka automatic unahitaji care sana, shida kidogo tu motor inakufa na unaanza kufunga kwa mkono.
Kwani kuna kitu ukijuacho ulichoongea kuhusu raum?Naongelea nikijuacho
Samahani mkuu naomba utolee maelezo ili nipate elimu itakayonisaidia. Asante mkuu.Mi ningeishi na Raum kama option ni izo mbili tu
Raum na Spacio zote gari nzuri sana kilichobaki hapo ni shape tu.Samahani mkuu naomba utolee maelezo ili nipate elimu itakayonisaidia. Asante mkuu.
Asante mkuuRaum na Spacio zote gari nzuri sana kilichobaki hapo ni shape tu.
Spacio kwangu kubwa sana, unless niwe na familia kubwa napenda shape ya Raum.
Ila kuhusu ubora wa engine, unafuu wa service izo gari yoyote utakayochukua hautojuta.