Kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe nani kaikigawa na kuikipasua CHADEMA zaidi?

Kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe nani kaikigawa na kuikipasua CHADEMA zaidi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Licha ya kwamba ni uhuru na haki ya kila mwana CHADEMA kuwania nafasi ya uongozi kulingana na sifa, vigezo na masharti ya kikatiba yaliyopo ndani ya chama hicho.

Je, ni nani hasa wa kulaumiwa kwa kukivuruga chama hiki cha siasa, ama kwa ubinafsi wake, uchu na tamaa zake za madaraka, kati ya mafahali hawa wawili waliodumu katika chama hicho kwa zaidi ya miongo zaidi ya moja kila moja, kama wanachama na viongozi waandamizi ngazi mbalilmali?

Je, kuna atakae torokea chama kikingine akishindwa uchaguzi huo? maana tayari miongoni mwao tayari wameanza kuweka masharti yao binafsi dhidi ya taratibu za kikatiba za chama hicho cha siasa kabla hata ya uchaguzi huo :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Licha ya kwamba ni uhuru na haki ya kila mwana chadema kuwania nafasi ya uongozi kulingana na sifa, vigezo na masharti ya kikatiba yaliyopo ndani ya chama hicho.

Je, ni nani hasa wa kulaumiwa kwa kukivuruga chama hiki cha siasa, ama kwa ubinafsi wake, uchu na tamaa zake za madaraka, kati ya mafahali hawa wawili waliodumu katika chama hicho kwa zaidi ya miongo zaidi ya moja kila moja, kama wanachama na viongozi waandamizi ngazi mbalilmali?

kuna atakae torokea chama kikngine akishindwa uchaguzi huo? maana tayari miongoni mwao tayari wameanza kuweka masharti yao binafsi kabla ya uchaguzi huo :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Mbowe anakivuruga chama. Apigwe chini kwenye sanduku la kura liwe fundisho Kwa wengine.
 
Habari za Lumumba na Mapambio ya kichawa hazisikiki tena ......alye cheza hii muvi Mungu anamuona.....
 
Chadema haijapasuka wala kugawanyika Ila alichofanya Lissu ni kuonesha kuwa Mbowe ni Ccm na CCM ni MBOWE.

Hivyo kuanzia sasa CHADEMA imekufa kifo cha Asili
hizo ni athari za kuwekeza na kutegemea watu binafs mojamoja kuongoza chama cha siasa, badala ya kuzalisha viongozi wengine wengi na wa kutosha ndani ya chama :pulpTRAVOLTA:
 
Mbowe anakivuruga chama. Apigwe chini kwenye sanduku la kura liwe fundisho Kwa wengine.
kivipi anakivuruga na kivipi apigwe chini, na nani wa kumpiha chini kwa mafano gentleman, miongoni mwa wajumbe wa mkutano mkuu taifa, pale chadema?:pedroP:
 
Licha ya kwamba ni uhuru na haki ya kila mwana CHADEMA kuwania nafasi ya uongozi kulingana na sifa, vigezo na masharti ya kikatiba yaliyopo ndani ya chama hicho.

Je, ni nani hasa wa kulaumiwa kwa kukivuruga chama hiki cha siasa, ama kwa ubinafsi wake, uchu na tamaa zake za madaraka, kati ya mafahali hawa wawili waliodumu katika chama hicho kwa zaidi ya miongo zaidi ya moja kila moja, kama wanachama na viongozi waandamizi ngazi mbalilmali?

Je, kuna atakae torokea chama kikingine akishindwa uchaguzi huo? maana tayari miongoni mwao tayari wameanza kuweka masharti yao binafsi dhidi ya taratibu za kikatiba za chama hicho cha siasa kabla hata ya uchaguzi huo :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Sultan Mbowe
 
Habari za Lumumba na Mapambio ya kichawa hazisikiki tena ......alye cheza hii muvi Mungu anamuona.....
muhimu zaidi ni chadema kujizuia na vurugu wafanye uamuzi kwa kuchagua viongozi wa kwa amani,

porojo na ushirikina mwingine havina maana kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema gentleman:NoGodNo:
 
Licha ya kwamba ni uhuru na haki ya kila mwana CHADEMA kuwania nafasi ya uongozi kulingana na sifa, vigezo na masharti ya kikatiba yaliyopo ndani ya chama hicho.

Je, ni nani hasa wa kulaumiwa kwa kukivuruga chama hiki cha siasa, ama kwa ubinafsi wake, uchu na tamaa zake za madaraka, kati ya mafahali hawa wawili waliodumu katika chama hicho kwa zaidi ya miongo zaidi ya moja kila moja, kama wanachama na viongozi waandamizi ngazi mbalilmali?

Je, kuna atakae torokea chama kikingine akishindwa uchaguzi huo? maana tayari miongoni mwao tayari wameanza kuweka masharti yao binafsi dhidi ya taratibu za kikatiba za chama hicho cha siasa kabla hata ya uchaguzi huo :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
CHAWA LAO😂
 
CDM haitawawikia, nguvu aliyokuwa nayo Dr. Slaa Lissu hata robo yake hana. Hao wanaharakati wa mitandaoni wanamdanganya eti CDM iwe chama cha kiuana-harakati ; Siasa za Bongo si za Kenya wala Uganda.
 
CDM haitawawikia, nguvu aliyokuwa nayo ya Dr. Slaa Lissu hata robo yake hana. Hao wanaharakati wa mitandaoni wanamdanganya eti CDM iwe chama cha kiuana-harakati ; Siasa za Bongo si za Kenya wala Uganda.
gentleman,
unashauri wafanyaje kama chama ili kuondokana na songombingo kama hizi hasa nyakati za uchaguzi? :pedroP:
 
gentleman,
unashauri wafanyaje kama chama ili kuondokana na songombingo kama hizi hasa nyakati za uchaguzi? :pedroP:
HIki ndiyo kipimo cha ukomavu katika chama.

Tunaomba atakayeshindwa asikimbie bali abaki ashiriki kuijemga CDM mpya.
 
Back
Top Bottom