Kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe nani kaikigawa na kuikipasua CHADEMA zaidi?

HIki ndiyo kipimo cha ukomavu katika chama.

Tunaomba atakayeshindwa asikimbie bali abaki ashiriki kuijemga CDM mpya.
kwa masharti yale ya wagombea kabla ya uchaguzi unadhani mtu atakaeshindwa atabaki chadema kweli?
 
Mbowe alipaswa achie madaraka kiheshima lakin hapo inaonesha kuna kundi kubwa la watu kutoka ndani na nje ya chama wanataka aendelee kuongoza pengine kwa kuhofia mpinzani wake...au ni mpango wao wenyewe wameamua iwe hvo....sio lisu wala Mbowe anaweza kukijenga chama binafsi mimi sijaona ila mwenye afadhali kwa sasa ni Lisu kuliko Mbowe...Mbowe anashawishika kirahisi kuliko lisu.
 
Tofauti yao ni kuwa mmoja ana tiketi ya ndege mfukoni mwingine hana!! Hapo utaona tu shaaaaaaa Ubeleji akina Msigwa wataachwa kwenye mataa na nyanya zao pale Dabaga
 
huyo mbowe alipaswa na nani kuachia madaraka?

nani hamuheshimu mbowe mathalan sasa hivi na angombea tena? au unazungumzia heshima gani gentleman?

undhani kwanini wana muhofia huyo mpinzani wake?

huyo Lisu ana afahali ipi? na katika wajumbe wa mkutano mkuu 1200 waliopo wangapi wanamuunga mkono huyo lisu?

na huyo mbowe anashawishika kirahisi upande gani dhidi ya Lisu?
 
Tofauti yao ni kuwa mmoja ana tiketi ya ndege mfukoni mwingine hana!! Hapo utaona tu shaaaaaaa Ubeleji akina Msigwa wataachwa kwenye mataa na nyanya zao pale Dabaga
kwa hiyo mgombea moja mguu moja upo ndani na mguu mwingine uko nje?

kweli nimeamini mtaka yote kwa pupa hukosa yote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…