Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada Ummy Mwalimu ni Mwamba wa Covid-19
Lazima mtakula sana matapishi, hata kwa JK ilikuwa hivihivi leo ndio kipenzi chenuJapo zile takwimu zilikuwa za kubumba... Lakini taarifa tulikuwa tunazipata kila baada ya muda... Sio huyu wa Sasa yupo yupo tu.
Unamlinganisha Ummy mwalimu. Na nani? Usitanie . Ummy mwalimu sina mwenye namba yake ninaiomba. Yule ni jembe.Members JF,
Hebu jaribu kuwa rate hawa mawaziri kwenye kukabiliana na hii catastroph facing the global, yupi ana strategic plans nzuri ya kukabiliana na hii kitu?
Najua ,ila ni nyakati tofauti sana.wakati wake covid ndiyo ilikuwa mpyaMkuu ww unaish wap wapi,hufaham kuwa ummy alikuwa kwenye hiyo wizara juzi kati tu
Haya yametoka wapi tena mkuu, hoja yako ni nzuri,je? Wakati wanaiba hizo dawa yeye alikuwa nani hapo wizaraniMungu aendelee kumtia nguvu Dr. Gwajima maaana wezi wa dawa za serikali na wabadhirifu wameshikwa pabaya, wziri anajua kona zote za upigaji huwezi kumdanganya....lazima wapigaji watamchukuia tu, lkn sisi wananchi tunamshukuru sana aendelee na uzi huo huo safisha takataka zote ili tasnia ya afya iwe na heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
So, takwimu zimeacha kutolewa kipindi cha Waziri Gwajima?Japo zile takwimu zilikuwa za kubumba... Lakini taarifa tulikuwa tunazipata kila baada ya muda... Sio huyu wa Sasa yupo yupo tu.
Ummy mwenyewe alinyamazishwaMama Gwajima bado hajafanya lolote kwenye issue ya COVID.
Nadhani hana hata ule ujasiri wa kumface boss wake na kumwambia kile anachopaswa kuambiwa na sio kile anachopenda kusikia
Huyu yeye anaonesha jogging na sweet heart wake.Japo zile takwimu zilikuwa za kubumba... Lakini taarifa tulikuwa tunazipata kila baada ya muda... Sio huyu wa Sasa yupo yupo tu.