Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huuUzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huu.
1)Unafananisha mawaziri walikaa katika Timeframe tofauti mpaka sasa Ummy miaka 5 Gwajima miezi 2.
2)Unalinganisha mawaziri walifanya majukumu yako katika ERA tofauti 2019-2020(Early to Mid) Corona is Corona, Corona is Say of the world at that time, Corona is lifestyle everywhere, Corona is real Apocalypse kivyovyote vile waziri wa wakati huo hata angekuwa waziri ni Amber Lulu angekuwa Smart, Famous, na kupokea miongozo mingi ya ki strategies kuiwasilisha kwa nchi, Gwajima utendaji wake umekuja 2021 kipindi Corona sio ile tuliyoijua.
Mlinganisho una Bias nyingi sana kingine people used to abuse Dr. Gwajima due to their Body posture and appearance indirectly.
Hakuna kitu cha tofauti sanaa alichofanya Ummy Mwalimu zaidi ya kuwa Humble na mnyenyekevu kwenye kuwasilisha na ukijumlisha Body posture yake, watu wannachanganya hiki kitu na utendaji.
BIAS BIAS BIAS
kwa kifupi Dr. Gwajima ameonyesha uhodari wa hali ya juu ktk ufuatiliaji wa kila jambo, sijui alikuwa nani lkn sasa yupo ktk nafasi ya juu ya uwaziri hivyo ana nguvu zaidi ya kufanya maamuzi lkn pia anaijua wizara ndani nje hivyo hawezi kudanganywa.Haya yametoka wapi tena mkuu, hoja yako ni nzuri,je? Wakati wanaiba hizo dawa yeye alikuwa nani hapo wizarani
Uzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huu.
1)Unafananisha mawaziri walikaa katika Timeframe tofauti mpaka sasa Ummy miaka 5 Gwajima miezi 2.
2)Unalinganisha mawaziri walifanya majukumu yako katika ERA tofauti 2019-2020(Early to Mid) Corona is Corona, Corona is Say of the world at that time, Corona is lifestyle everywhere, Corona is real Apocalypse kivyovyote vile waziri wa wakati huo hata angekuwa waziri ni Amber Lulu angekuwa Smart, Famous, na kupokea miongozo mingi ya ki strategies kuiwasilisha kwa nchi, Gwajima utendaji wake umekuja 2021 kipindi Corona sio ile tuliyoijua.
Mlinganisho una Bias nyingi sana kingine people used to abuse Dr. Gwajima due to their Body posture and appearance indirectly.
Hakuna kitu cha tofauti sanaa alichofanya Ummy Mwalimu zaidi ya kuwa Humble na mnyenyekevu kwenye kuwasilisha na ukijumlisha Body posture yake, watu wannachanganya hiki kitu na utendaji.
BIAS BIAS BIAS
Yaani unalinganisha mtumishi wa Umma na Mmbea?Members JF,
Hebu jaribu kuwa rate hawa mawaziri kwenye kukabiliana na hii catastroph facing the global, yupi ana strategic plans nzuri ya kukabiliana na hii kitu?
Umeongea mambo mengi Sana,kimsingi point uliyotaja mwishoni mwa comment yako inaweza kuwa strategyUzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huu.
1)Unafananisha mawaziri walikaa katika Timeframe tofauti mpaka sasa Ummy miaka 5 Gwajima miezi 2.
2)Unalinganisha mawaziri walifanya majukumu yako katika ERA tofauti 2019-2020(Early to Mid) Corona is Corona, Corona is Say of the world at that time, Corona is lifestyle everywhere, Corona is real Apocalypse kivyovyote vile waziri wa wakati huo hata angekuwa waziri ni Amber Lulu angekuwa Smart, Famous, na kupokea miongozo mingi ya ki strategies kuiwasilisha kwa nchi, Gwajima utendaji wake umekuja 2021 kipindi Corona sio ile tuliyoijua.
Mlinganisho una Bias nyingi sana kingine people used to abuse Dr. Gwajima due to their Body posture and appearance indirectly.
Hakuna kitu cha tofauti sanaa alichofanya Ummy Mwalimu zaidi ya kuwa Humble na mnyenyekevu kwenye kuwasilisha na ukijumlisha Body posture yake, watu wannachanganya hiki kitu na utendaji.
BIAS BIAS BIAS
Gwajima utamlingamisha na Ummy kweli? Hebu nisaidie huyu mkaguzi mkuu Gwajima yupo wapi sasa? Simsikii kapotea ghaflaMembers JF,
Hebu jaribu kuwa rate hawa mawaziri kwenye kukabiliana na hii catastroph facing the global, yupi ana strategic plans nzuri ya kukabiliana na hii kitu?
Nyie na Nani mkuu? Rudia Uzi uelewe swali hizo sifa hata nyumbani unaweza mpelekeaMungu aendelee kumtia nguvu Dr. Gwajima maaana wezi wa dawa za serikali na wabadhirifu wameshikwa pabaya, wziri anajua kona zote za upigaji huwezi kumdanganya....lazima wapigaji watamchukuia tu, lkn sisi wananchi tunamshukuru sana aendelee na uzi huo huo safisha takataka zote ili tasnia ya afya iwe na heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu wewe hujachangia hupo kwenye hilo kundiUzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huu.
1)Unafananisha mawaziri walikaa katika Timeframe tofauti mpaka sasa Ummy miaka 5 Gwajima miezi 2.
2)Unalinganisha mawaziri walifanya majukumu yako katika ERA tofauti 2019-2020(Early to Mid) Corona is Corona, Corona is Say of the world at that time, Corona is lifestyle everywhere, Corona is real Apocalypse kivyovyote vile waziri wa wakati huo hata angekuwa waziri ni Amber Lulu angekuwa Smart, Famous, na kupokea miongozo mingi ya ki strategies kuiwasilisha kwa nchi, Gwajima utendaji wake umekuja 2021 kipindi Corona sio ile tuliyoijua.
Mlinganisho una Bias nyingi sana kingine people used to abuse Dr. Gwajima due to their Body posture and appearance indirectly.
Hakuna kitu cha tofauti sanaa alichofanya Ummy Mwalimu zaidi ya kuwa Humble na mnyenyekevu kwenye kuwasilisha na ukijumlisha Body posture yake, watu wannachanganya hiki kitu na utendaji.
BIAS BIAS BIAS
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Uzi wa kipuuzi sana huu na mjinga tu atachangia uzi huu
Kweli mkuu naona mjinga amechangia.
Ndio ni Behaviourist inaitwa ICT and IPDA StrategyKwani nchi hii kuna mtu yoyote mwenye strategy?