TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Hamna lolote 😂Ndio ni Behaviourist inaitwa ICT and IPDA Strategy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna lolote 😂Ndio ni Behaviourist inaitwa ICT and IPDA Strategy
...kinachosikitisha zaidi..huyu wa sasa kasomea udaktari lakini anafanya Kazi Kama mganga wa kienyeji...ummy si Dokta..lakini alishirikiana Vema na madaktari...huyu mchawi wa sasa asipotumbuliwa baada ya vifo hivi vilivyotamalaki nchini...basi nitaamini ni mchawi hatari wa usukumani...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1701428
Uchawi tena!...kinachosikitisha zaidi..huyu wa sasa kasomea udaktari lakini anafanya Kazi Kama mganga wa kienyeji...ummy si Dokta..lakini alishirikiana Vema na madaktari...huyu mchawi wa sasa asipotumbuliwa baada ya vifo hivi vilivyotamalaki nchini...basi nitaamini ni mchawi hatari wa usukumani...
MBNA nae aliambiwa asitoe hizo takwimuJapo zile takwimu zilikuwa za kubumba... Lakini taarifa tulikuwa tunazipata kila baada ya muda... Sio huyu wa Sasa yupo yupo tu.
wanaiba nini dawa hazipoMungu aendelee kumtia nguvu Dr. Gwajima maaana wezi wa dawa za serikali na wabadhirifu wameshikwa pabaya, wziri anajua kona zote za upigaji huwezi kumdanganya....lazima wapigaji watamchukuia tu, lkn sisi wananchi tunamshukuru sana aendelee na uzi huo huo safisha takataka zote ili tasnia ya afya iwe na heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ummy hajasomea hii kada ya udakitali lakin alifanya kazi vizuri yule alisomea sheria.magufuri sijui aliwazaje hapo hawa ndo wale Wa I was expected to be a teacher now am a doctor...kinachosikitisha zaidi..huyu wa sasa kasomea udaktari lakini anafanya Kazi Kama mganga wa kienyeji...ummy si Dokta..lakini alishirikiana Vema na madaktari...huyu mchawi wa sasa asipotumbuliwa baada ya vifo hivi vilivyotamalaki nchini...basi nitaamini ni mchawi hatari wa usukumani...
[em
Hata kaa yao inaakisi matendo yao; wa kushoto amekaa kikazi na kimkakati ktk utendaji. wa kulia amekaa kimipasho na kiumbea zaidi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1701428
oji1787][emoji1787][emoji178