Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwagito toa maoni au hata maono tu.Haya
Ccm ni ya hovyo Sana! Vilaza watupu!CCM ni janga, yanajua kubebana tu bila kujali maslahi ya Taifa.
Unamuachaje Pasco Mayalla halafu unachukua hao vilaz.a?!.
Siasa wamegawana wenyewe. Tupambanie fursa nyingine..inawezekanaje NCHI nzima tukachagua wagombea kama wale?
..hata wangezungumza kwa Kiswahili ujengaji hoja wao ni wa mashaka-mashaka.
utaenda wapi sasa- mchezaji wa zamani Sunday Manara; Msemaji aliyefungia Haji Manara. Kocha Jamhuri Kiwelo; mchezaji wa akiba Kiwelo Jr.Siasa wamegawana wenyewe. Tupambanie fursa nyingine
Lol....labda uvuvi wa samaki Ziwa Tanganyika...Huku kote wamegawana wenyeee naoutaenda wapi sasa- mchezaji wa zamani Sunday Manara; Msemaji aliyefungia Haji Manara. Kocha Jamhuri Kiwelo; mchezaji wa akiba Kiwelo Jr.
Mkuu Mungunalishagawa taranta akamaliza sasa hivi anahangaika kuzuia mwezi, jua na nyota zisigongane basiLol....labda uvuvi wa samaki Ziwa Tanganyika...Huku kote wamegawana wenyeee nao
Hajamaliza bado...kuna moja au mbili hazinaga mwenyewe...ila hatujiongezi. Tunaopenda kujazana kuliko jaa tayariMkuu Mungunalishagawa taranta akamaliza sasa hivi anahangaika kuzuia mwezi, jua na nyota zisigongane basi