Kati ya wanawake 10, wanawake 6 wanaotumia madawa ya kulevya ni HIV positive

Kati ya wanawake 10, wanawake 6 wanaotumia madawa ya kulevya ni HIV positive

Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume.

Kwanza nimeshangaa sana inawezekana hizi takwimu siyo sahihi kabisa. Mimi annunaki nafikiria Kati ya wanawake 10 basi 8 Wana waya.

Hasa kwa jiji la Dar es salaam ambalo ni jehanamu ya Tanzania.

Vijana wote wa kike na kiume, chukueni tahadhari, ngoma ipo na inatembezwa na kusambazwa kwa kasi ya 5G.
View attachment 2520350
Utafiti wa uongo huu.
 
Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume.

Kwanza nimeshangaa sana inawezekana hizi takwimu siyo sahihi kabisa. Mimi annunaki nafikiria Kati ya wanawake 10 basi 8 Wana waya.

Hasa kwa jiji la Dar es salaam ambalo ni jehanamu ya Tanzania.

Vijana wote wa kike na kiume, chukueni tahadhari, ngoma ipo na inatembezwa na kusambazwa kwa kasi ya 5G.
View attachment 2520350
ata kama, hizi data ni assumptions tu. Ina maana nyumba yenye wanawake 10, sita wana HIV
 
Amekosea sana, hivyo 60% ya wanawake wote Tanzania wana Virusi?

Maana yake ni kuwa Tanzania tuna idadi ya watu wanaoishi na Virusi zaidi ya Million 20.

La Haula!.
Fala huyo jamaa,itakua hajui hesabu au walikua wanapima malaria
 
Hizi takwimu zimetolewa na chanzo gani cha tafiti? Na ni kwa Mkoa upi au nchi gani au jamii gani (wanaojiuza au)?

Kama ni kwa wanaojiuza (Sexual workers) naweza kukubali ila tofauti na hapo hakuna maambukizi ya kiwango hiki duniani kote
Asilimia 90 wa wanawake wa Tz wana jiuza sema njia za kujiuza ndo tofauti.
 
Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume.

Kwanza nimeshangaa sana inawezekana hizi takwimu siyo sahihi kabisa. Mimi annunaki nafikiria Kati ya wanawake 10 basi 8 Wana waya.

Hasa kwa jiji la Dar es salaam ambalo ni jehanamu ya Tanzania.

Vijana wote wa kike na kiume, chukueni tahadhari, ngoma ipo na inatembezwa na kusambazwa kwa kasi ya 5G.
View attachment 2520350
Kwa hiyo prevalence ni 60%
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Sina uhakika kuhusu hizo takwimu za ukimwi, Ila ukitembea na mwanamke wa Dar peku, kesho yake tegemea bomba kuwasha na ukikamua kidogo usaha mzito utatoka.
Ukiwa Mbagala epuka kabisa kuzama chumvini utapata tabu sana.
 
Shauri yenu ngoma isikie kwa mwenzio....binafsi namshukuru Mungu...lakin nikipiga hesabu ya madem nilio tembea nao aloo ni wengi....kikubwa ni umakin...mademu wanapigwa haswa
 
Kwani mnataka au mnaweza ishi milele. Acheni kutisha watu hapa.
Chapeni bana maisha yenyewe mafupi Haya
 
Hakuna UKIMWI ni hadithu tu

Huo ugonjwa wa kutungwa haupo ni hoax tu ili mnunue dawa za ARV ili makampuni makubwa ya pharma yapige hela kwakuwa ukishaanza kutumia hizo dawa unakuwa kama teja

Mimi nimechakata mbususu nyingi na sijawahi tuwa na huo ugonjwa japo nimeshapima na kuambiwa niko nao.
Hizo Arv zinauzwa?? Si buree au mimi sijui?
 
Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume.

Kwanza nimeshangaa sana inawezekana hizi takwimu siyo sahihi kabisa. Mimi annunaki nafikiria Kati ya wanawake 10 basi 8 Wana waya.

Hasa kwa jiji la Dar es salaam ambalo ni jehanamu ya Tanzania.

Vijana wote wa kike na kiume, chukueni tahadhari, ngoma ipo na inatembezwa na kusambazwa kwa kasi ya 5G.
View attachment 2520350
Sababu kuu ukitema maji ya moto yenye mdudu ndani kabisa ya mbunye watakuwa wamefika na kufanya maskani!
Mwanaume akichomoa na kuwahi kuoga kama alivyoelekeza kamanda Zuma anatoka safi....
 
Sina uhakika kuhusu hizo takwimu za ukimwi, Ila ukitembea na mwanamke wa Dar peku, kesho yake tegemea bomba kuwasha na ukikamua kidogo usaha mzito utatoka.
Ukiwa Mbagala epuka kabisa kuzama chumvini utapata tabu sana.
Dar es salaam hilo jiji ni jehanamu ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom