- Thread starter
- #41
FreeYanafanya free service or...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FreeYanafanya free service or...
Usiogope. Baki njia kuu.Huo utafiki fekii
Sasa niogope nini kwa mfano?Usiogope. Baki njia kuu.
Jana ulijionea mwenyewe, nilifanya self test, Kwanza, halafu nikaenda tukafanya test wote. Na mrejesho wa shughuli ukiutaka nitakupa😊😊😊😊Shauri ako na yule mrembo wako! 😀
Kwa hapa Dar es salaam unaweza ni mention nia sehemu kadhaa ambazo mtu anaweza pata counseling Bure hapa dar es salaamFree
Hospitali zote za umma na binafsi, hiyo huduma wanatoa bure.Kwa hapa dar es salaam unaweza ni mention nia sehemu kadhaa ambazo mtu anaweza pata counseling Bure hapa dar es salaam
Waya.Sasa niogope nini kwa mfano?
Hahahah we chumaHakuna UKIMWI ni hadithu tu
Huo ugonjwa wa kutungwa haupo ni hoax tu ili mnunue dawa za ARV ili makampuni makubwa ya pharma yapige hela kwakuwa ukishaanza kutumia hizo dawa unakuwa kama teja
Mimi nimechakata mbususu nyingi na sijawahi tuwa na huo ugonjwa japo nimeshapima na kuambiwa niko nao.
Na hivi mmepima! naona uliipiga kama vita 😂Jana ulijionea mwenyewe, nilifanya self test, Kwanza, halafu nikaenda tukafanya test wote. Na mrejesho wa shughuli ukiutaka nitakupa😊😊😊😊
Mkuu kwa uslma siku hizo tunachakata waliopo kwenye ndoa , kwa sababu analindwa na mumewe na mimi[emoji3][emoji3]Wachakataji wa mbususu ovyo ovyo wataogopa labda...
Washkuru wa sasa hivi kuna madawa, miaka ya nyuma unaweza lia ukimuona mtu mwenye ukimwi anavyoteseka.HIV is not a myth....hatari
Mke wa MTU ni Sumu -LWP MAJITUMkuu kwa uslma siku hizo tunachakata waliopo kwenye ndoa , kwa sababu analindwa na mumewe na mimi[emoji3][emoji3]
Kwa sababu ukilinganisha na wanaume, wanawake wengi sio wabishi. Wanakubaliana na mambo kirahisi kikikekike!Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume
Yaani sema niriharibu pia, maana kale kabarometer nilikokuonyesha nilienda kucheza mechi ugenini nikakasau mezani. Leo asubuhi sikaoni nahisi mother house alikachukua😊😊😊😊😊Na hivi mmepima! naona uliipiga kama vita 😂
Jioni wasapu!
Sababu ukitumia madawa huwezi dindishaWanawake ni wengi kuliko wanaume...
Kwamba hujasoma kuwa ni wanaotumia madawa?Amekosea sana, hivyo 60% ya wanawake wote Tanzania wana Virusi?
Maana yake ni kuwa Tanzania tuna idadi ya watu wanaoishi na Virusi zaidi ya Million 20.
La Haula!.
Mkuu hata hwa wasio na wame ni sumu tuMke wa MTU ni Sumu -LWP MAJITU
Tatizo la wake za watu hawataki uvae kondom kisa eti yeye sio Malaya.Mkuu kwa uslma siku hizo tunachakata waliopo kwenye ndoa , kwa sababu analindwa na mumewe na mimi[emoji3][emoji3]
Bure huko kwenuHizo Arv zinauzwa?? Si buree au mimi sijui?