Kati ya wanawake 10, wanawake 6 wanaotumia madawa ya kulevya ni HIV positive

Hahahah we chuma
 
Kwa nini wanawake ni vulnerable sana na HIV kuliko wanaume
Kwa sababu ukilinganisha na wanaume, wanawake wengi sio wabishi. Wanakubaliana na mambo kirahisi kikikekike!

Kirusi chochote huwa ni kama dokezo kwamba fanya hivi kuna hali hii. Taarifa.
Mwanamke anakubaliana nayo.... mwanaume anakuwa mbishi matokeo yake tuvirusi tunawasumbuasumbua.
NB hii ni nadharia tu
 
Amekosea sana, hivyo 60% ya wanawake wote Tanzania wana Virusi?

Maana yake ni kuwa Tanzania tuna idadi ya watu wanaoishi na Virusi zaidi ya Million 20.

La Haula!.
Kwamba hujasoma kuwa ni wanaotumia madawa?
 
Mkuu kwa uslma siku hizo tunachakata waliopo kwenye ndoa , kwa sababu analindwa na mumewe na mimi[emoji3][emoji3]
Tatizo la wake za watu hawataki uvae kondom kisa eti yeye sio Malaya.
Kuna mmama mmoja mchaga alinigomea kabisa eti hawezi kuingizwa makaratasi. Kwa vile alishakula vyangu vingi nilijitosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ