liwaya
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 2,384
- 1,648
Kwani anayesajili yanga ni msola km Simba MO ni shida Bora Simba MO amefikia level ya kuwa sehemu ya timu kuliko GSMMikia bila Mo ni weupe sana katika suala zima la usajili.
Yanga anamaono katika sajili zake.Ananunua mchezaji wa kawaida baadae anaibuka kuwa star kiasi kwamba mikia wanamtolea macho.
Lamine Molo mara ya kwanza alibezwa sana na mikia but baada ya muda wanamtaka kwa hali na mali.
Mirisson vile vile
Nk nk nk
Lakini mikia wanatumia hela nyingi kununua majina ambayo kimsingi hawana manufaa,mfano usajili wa Kahata,Ochieng,Morrison,Kamagi nk nk nk
So simba wana poor scouting team compared to Dar es salaam young african tanzania
#jr