HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Habari,
Nia aibu kuona leo hii Waafrika wanawakana MABABU /MABIBI zao kwa kigezo cha yesu wa biblia na muhamad wa biblia wakati walioanzisha biblia na quruan bado wanaenzi tamaduni zao kwa kuwaenzi na kuwaabudu yesu/adam na muhamadi.
Ebu WAAFRIKA jitafakarini kwa akili zakulishwa na kuchanganya na akili zenu za asili juu ya hili kwani asili ya MWAFRIKA yoyote siyo MWANADAMU bali ni MTU.
Nia aibu kuona leo hii Waafrika wanawakana MABABU /MABIBI zao kwa kigezo cha yesu wa biblia na muhamad wa biblia wakati walioanzisha biblia na quruan bado wanaenzi tamaduni zao kwa kuwaenzi na kuwaabudu yesu/adam na muhamadi.
Ebu WAAFRIKA jitafakarini kwa akili zakulishwa na kuchanganya na akili zenu za asili juu ya hili kwani asili ya MWAFRIKA yoyote siyo MWANADAMU bali ni MTU.