Kati ya Yesu/Muhamad na mababu, mabibi au wazazi wa Waafrika nani zaidi na wanaostahili kuabudiwa?

Kati ya Yesu/Muhamad na mababu, mabibi au wazazi wa Waafrika nani zaidi na wanaostahili kuabudiwa?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habari,

Nia aibu kuona leo hii Waafrika wanawakana MABABU /MABIBI zao kwa kigezo cha yesu wa biblia na muhamad wa biblia wakati walioanzisha biblia na quruan bado wanaenzi tamaduni zao kwa kuwaenzi na kuwaabudu yesu/adam na muhamadi.

Ebu WAAFRIKA jitafakarini kwa akili zakulishwa na kuchanganya na akili zenu za asili juu ya hili kwani asili ya MWAFRIKA yoyote siyo MWANADAMU bali ni MTU.
 
Back
Top Bottom