Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

Acha speculation!
Jibu swali, Je wali jaribu kufuata mkondo huo?
Nawashauri chadema, Pamoja na midahalo wanayofanya, waitishe mikutano ya hadhara na kuelezea umma kwa ufasaha ni nini kinaendelea.
Kama watanyimwa vibali, wakubali kugharamia vipindi maalum Kwenye media mbali mbali ili kufikisha ujumbe wao kabla ya kuanzisha maandamano.
Binafsi naona CHADEMA wamekosea kwa sababu labda sijapata maelezo ya upande wao.

Kufikiria kuwa CDM wamekosea peke yao ni kuwatwisha mzigo mzito wa utetezi wa Watanzania. Kazi ya wabunge ni kuwawakilisha wananchi waliowachagua. Sasa kazi hiyo siyo lazima ifanywe na upinzani tu ni kazi ya wabunge wete regardless their political affiliation. Binafsi nashindwa kuelewa kwa nini huu mzigo wanabebeshwaCDM peke yao badala ya wabunge wote?? Kama tunakubaliana kuwa huu muswada ni mzuri then tujiulize kwa nini CDM wanaukataa?? Na kama siyo mzuri kwa nini CCM wanaukumbatia tena kwa mbwembwe?? Wote tunajua kuwa wabunge wa CCM wameshindwa kuujadili badala yake wamemjadili Lissu. Sasa baada ya Lissu kuwasilisha hoja ya upinzani na kutoa mapungufu ya mswada na mapendekezo yao kwa nini wabunge wa chama tawala hawakuyajadili au kuyafanyia kazi hayo mapendekezo bila CDM kuwepo?? Je ina maana kama CDM wasingesusia vikao, CCM wangeujadili huo mswada na hoja za CDM??

Wa kulaumiwa ni wabung wa CCM ambao wamechaguliwa kuwakilisha wananchi wao lakini wapo pale kuendekeza na kuwakilisha sera za CCM. Nafikrir ni wakati mwafaka wa kuwa na private candidates ambao CCM waetunyia hiyo haki kwa siku nyingi kwa kisingizio cha kudumisha taifa na amani!!
 
Kama nakuona vile ulivyo na furaha! 'Hongera sana' kwa kuyaona haya mapema!
SMU, historia ni elimu ya kujua mambo yaliyopita kulinganisha na yaliyopo sasa ili kujua yajayo.

Kuna thread niliwaambia Chadema walipotoka, hapa walipo na ku pre determine, wapi wanapokwenda.

Niliwaambia badhi ya shotfalls zao na nikasisitiza kama kweli wako serious na target is to achieve something by 2015 then they have to do something now!.

Haya madogo madogo ambayo someone did not do something, yana wacost kidogo kidogo at the end of the day watu wanaishia kulia!.

Japo naonekana kama mwiba mchungu kwa wafuasi na mashabiki wa mageuzi, nayasema haya kwa uchungu kwa sababu 2015 hatutaki vilio wala misuso!.
 
Wanabodi,
Kanuni ya Kuu ya Kwanza kwa mwanahabari yoyote ni to tell nothing but the truth. Naomba kuitumia kanuni hii kuwaambia Chadema, they were wrong!, walikosea!, kwanza wakiri makosa, pili wakubali yaishe na mwisho wasonge mbele, 2015 sio mbali kihivyo!.

Mchelea mwana kulia, hulia yeye, japo binafsi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, hivyo wapenzi wote wa dhati wa demokrasia, lazima waikubali Chadema kama ndicho chama pekee cha upinzani Tanzania bara kilichoonyesha nuru ya matumaini ya uwezekano wa kupatikana kwa demokrasia ya kweli ndani ya bunge na labda hata ukombozi wa pili wa Mtanzania baada ya uhuru na miaka 50 ya utumwa wa chama kimoja kuhodhi madaraka yote ya dola.

Wengi wa wapenzi wa demokrasia wanaishabikia mno Chadema wakichelea kuiambia ukweli kuwa watalia, mimi nachelea mashabiki na wapenzi wao kulia mwaka 2015, hivyo nawaambia ukweli ili hata kama mtalia, lakini itakumbukwa mliambiwa!.

Suala la kususia jumla mchakato wa kuunda tume ya kukusanya maoni kuunda katiba mpya ni kosa kwa sababu Chadema kama kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ilikuwa na uwezo wa kuusimamisha na kuzuia uwasilishwaji kwa mara ya pili huo muswada kwa kutumia kanuni ya kifungu 86 hivyo kutoa fursa ya hoja ya kuzuia uwasilishwaji huo kusikilizwa, lakini Chadema haikufanya hivyo.

Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa wabunge wa Chadema katika umakini, kitendo cha oversight ya opportunies provided by kifungu cha 86 cha kanuni za bunge kuuzuia huo muswada, sio tuu ni udhaifu mkubwa, but kosa kubwa ambalo Chadema lazima wakiri, waombe radhi na kusonga mbele.

Kanuni hiyo ya 86 inaeleza wazi hatua kwa hatua za kufuatwa ili kuuzuia muswada usisomwe kwa mara ya pili. Chadema ilipuuza na kuendelea kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani.

Kama Chadema ingezingatia kanuni hiyo, isinge wasilisha maoni ya kambi ya upinzani bali ingewasilisha pingamizi!.

Kitendo cha Mhe. Lissu kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, yamemaanisha wameijibu hoja ya serikali hivyo kutoa go ahead majadiliano yaendelee. Uwasilishwaji wa hotuba hiyo ndio passport ya mjadala kuendelea, kama kambi ya upinzani wasingewasilisha maoni yao, muswada ungesitishwa kwanza na wao kusikilizwa. Hivyo iwasilishwaji wa hotuba ile ni kosa la pili, Chadema lazima wakiri kosa, waombe radhi na kusonga mbele!.

Kitendo cha kususia mjadala kwa siku ya kwanza na kutoka nje, was the right move kuonyesha protest dhidi ya unyanyasaji wa Mhe. Spika, lakini kuisusa hoja jumla, was a mistake hivyo sheria imetungwa bila imput yao, hivyo hili ni kosa la tatu, Chadema wakiri kosa, waombe radhi na kusonga mbele!..

Kwa vile sheria imepitishwa na itasainiwa na rais kwa mbwembwe, lazima Chadema na wapenzi wao na mashabiki wao waukubali ukweli mchungu kuwa they lost the bettle hivyo watake wasitake, lazima wakubali matokeo. Hawawezi kuendelea kususa, lazima wajisibmit kwenye tume ya kuratibu maoni na kutoa maoni yao hata kama tume hiyo itaundwa bila imput yao na bila ridhaa yao!.

Yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo (Tume ya kukusanya maoni) na yajayo (Katiba Mpya).

Namalizia kwa kusisitiza, kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa!. Chadema kwenye uundwaji tume mmefanya kosa!. Sheria imetungwa na sasa sio kosa tena, kosa ni kurudia kosa kama hamtoa maoni yenu kwenye tume!. Two wrongs don't make right, better late than never!.

2015 sio mbali kihivyo!.

Wasalaam
Pasco (wa jf).


Wanabodi,

Katika hoja ya Chadema kujitoa katika tume ya maoni ya katiba, nafanya rejea uzi wanguu huu ili kuthibitisha, kuwa Chadema walifanya kosa kwa kushindwa kutenda kile ambacho walipaswa kutenda!, wakabisha hodi ikulu kodowea chai na vitafunwa!, hivyo kukubali kila kitu!. Kama sasa Chadema wanataka kujitoa, hapa sasa ndipo itakuwa a real mistake!. Mwanzo walifanya kosa!, kufanya kosa sii kosa!, kosa kurudia kosa!.
Pasco
 
cha kujiuliza sisi sote kwa nini hakutokea mtu kuweka barua yake kwa Spika kutanguliza pingamizi... Kama yupo mbunge aliweka pingamizi na Spika akatumia mamlaka yake kukataa aidha baada ya kusoma pingamizi hilo akaliona halina ushahidi wa kutosha ama kwa kuona litachelewesha uratibu na mchakato wa katiba hapo sasa tunaweza kupata sababu lakini kinyume cha hapo ni wazi kabisa wabunge wetu wote walichemsha kutowakilisha barua ya pingamizi.....
Mkuu Mkandara, baada ya haya makosa ya mwanzo, hakikisheni msirudie makosa!. I seriously think, baadhi yenu kwenye top brass yenu, wameshaanza kuonyesha dalili za mbali za insanity!, don't all be carried over under the pretex of "collective resiponsibility!", Chadema has a duty to do the right thing and doing it right!.
Pasco.
 
Pasco,
Kisima kinaelekea kukauka. You have one choice. Dying with them, or condemning them. Usije ukajilaumu baadaye.
 
Pasco,
Kisima kinaelekea kukauka. You have one choice. Dying with them, or condemning them. Usije ukajilaumu baadaye.
Unless you are 100% sure that you are going to beat them!, "If you can't beat the, join them!".

Niko mbioni!.

Pasco.
 
Kinachoendelea sasa katika mchakato wa katiba, ni matokeo ya dhambi hii ya asili!.
  1. Mwanzo Chadema walikosea, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao!.
  2. Wakaitwa Ikulu na kubembelezwa kwa chai, wakalainika, wakarejea!.
  3. Sasa merekebisho ya muswada, wamesusa tena!, wametoka nje, sheria imepitishwa bila wao!, jee safari hii itakuwa ni kwa chai tena ya Ikulu?!.
  4. Sheria ikishapita ni sheria, hakuna option ya kuamua kuitii au kutoitii wala kususa doesn't change a thing!.
  5. Mada kuu ya msingi is still valid!, Chadema walikosea tangu mwanzo!, wakubali yaishe!, tusonge mbele!.
Pasco.
 
Kinachoendelea sasa katika mchakato wa katiba, ni matokeo ya dhambi hii ya asili!.
  1. Mwanzo Chadema walikosea, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao!.
  2. Wakaitwa Ikulu na kubembelezwa kwa chai, wakalainika, wakarejea!.
  3. Sasa merekebisho ya muswada, wamesusa tena!, wametoka nje, sheria imepitishwa bila wao!, jee safari hii itakuwa ni kwa chai tena ya Ikulu?!.
  4. Sheria ikishapita ni sheria, hakuna option ya kuamua kuitii au kutoitii wala kususa doesn't change a thing!.
  5. Mada kuu ya msingi is still valid!, Chadema walikosea tangu mwanzo!, wakubali yaishe!, tusonge mbele!.
Pasco.

Pasco, najua wewe ni mnafiki sana! Unajua kabisa kwamba hata kama upinzani ungekuwepo bungeni isenge saidia chochote sababu magamba wapo wenge.
 
Kinachoendelea sasa katika mchakato wa katiba, ni matokeo ya dhambi hii ya asili!.
  1. Mwanzo Chadema walikosea, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao!.
  2. Wakaitwa Ikulu na kubembelezwa kwa chai, wakalainika, wakarejea!.
  3. Sasa merekebisho ya muswada, wamesusa tena!, wametoka nje, sheria imepitishwa bila wao!, jee safari hii itakuwa ni kwa chai tena ya Ikulu?!.
  4. Sheria ikishapita ni sheria, hakuna option ya kuamua kuitii au kutoitii wala kususa doesn't change a thing!.
  5. Mada kuu ya msingi is still valid!, Chadema walikosea tangu mwanzo!, wakubali yaishe!, tusonge mbele!.
Pasco.

kwa hiyo chadema wana shuda na chai? mbona pasco unajitoa akili..
 
Kinachoendelea sasa katika mchakato wa katiba, ni matokeo ya dhambi hii ya asili!.
  1. Mwanzo Chadema walikosea, wakasusa, wakatoka nje, sheria ikapitishwa bila wao!.
  2. Wakaitwa Ikulu na kubembelezwa kwa chai, wakalainika, wakarejea!.
  3. Sasa merekebisho ya muswada, wamesusa tena!, wametoka nje, sheria imepitishwa bila wao!, jee safari hii itakuwa ni kwa chai tena ya Ikulu?!.
  4. Sheria ikishapita ni sheria, hakuna option ya kuamua kuitii au kutoitii wala kususa doesn't change a thing!.
  5. Mada kuu ya msingi is still valid!, Chadema walikosea tangu mwanzo!, wakubali yaishe!, tusonge mbele!.
Pasco.

Huna tofauti na pinda. Hakuna ukweli wowote ktk hoja zako zote dhaifu tangu 1...
 
Tatizo cdm wanatumia nguvu sana kuliko akili na busara, so mbadilike hizo sio siasa nzuri, make mkiendelea hivi mtachokwa na hao mnaodhani wanawapenda.
 
Mh. MATASO, cdm hawatumii nguvu hoja zao zina mashiko, ila ccm kwa sababu ya wingi wao bungeni wanatumia opportunity hiyo kuwakandamiza wapinzani, jiulize je, ni mikataba mingapi feki ccm imeipitisha bungeni na wapinzani wakipinga, CCM NI SIKIO LA KUFA, lazima wapishe 2015 wamezeheka mno hawana jipya.
 
thanks for the useful post... post ya leo.ya mwanakijiji ya leo; Ndio imenipeleka hadi kwenye post hii
 
Wanabodi,
Kanuni ya Kuu ya Kwanza kwa mwanahabari yoyote ni to tell nothing but the truth. Naomba kuitumia kanuni hii kuwaambia Chadema, they were wrong!, walikosea!, kwanza wakiri makosa, pili wakubali yaishe na mwisho wasonge mbele, 2015 sio mbali kihivyo!.

Mchelea mwana kulia, hulia yeye, japo binafsi sio mshabiki wa chama chochote cha siasa bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, hivyo wapenzi wote wa dhati wa demokrasia, lazima waikubali Chadema kama ndicho chama pekee cha upinzani Tanzania bara kilichoonyesha nuru ya matumaini ya uwezekano wa kupatikana kwa demokrasia ya kweli ndani ya bunge na labda hata ukombozi wa pili wa Mtanzania baada ya uhuru na miaka 50 ya utumwa wa chama kimoja kuhodhi madaraka yote ya dola.

Wengi wa wapenzi wa demokrasia wanaishabikia mno Chadema wakichelea kuiambia ukweli kuwa watalia, mimi nachelea mashabiki na wapenzi wao kulia mwaka 2015, hivyo nawaambia ukweli ili hata kama mtalia, lakini itakumbukwa mliambiwa!.

Suala la kususia jumla mchakato wa kuunda tume ya kukusanya maoni kuunda katiba mpya ni kosa kwa sababu Chadema kama kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ilikuwa na uwezo wa kuusimamisha na kuzuia uwasilishwaji kwa mara ya pili huo muswada kwa kutumia kanuni ya kifungu 86 hivyo kutoa fursa ya hoja ya kuzuia uwasilishwaji huo kusikilizwa, lakini Chadema haikufanya hivyo.

Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa wabunge wa Chadema katika umakini, kitendo cha oversight ya opportunies provided by kifungu cha 86 cha kanuni za bunge kuuzuia huo muswada, sio tuu ni udhaifu mkubwa, but kosa kubwa ambalo Chadema lazima wakiri, waombe radhi na kusonga mbele.

Kanuni hiyo ya 86 inaeleza wazi hatua kwa hatua za kufuatwa ili kuuzuia muswada usisomwe kwa mara ya pili. Chadema ilipuuza na kuendelea kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani.

Kama Chadema ingezingatia kanuni hiyo, isinge wasilisha maoni ya kambi ya upinzani bali ingewasilisha pingamizi!.

Kitendo cha Mhe. Lissu kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, yamemaanisha wameijibu hoja ya serikali hivyo kutoa go ahead majadiliano yaendelee. Uwasilishwaji wa hotuba hiyo ndio passport ya mjadala kuendelea, kama kambi ya upinzani wasingewasilisha maoni yao, muswada ungesitishwa kwanza na wao kusikilizwa. Hivyo iwasilishwaji wa hotuba ile ni kosa la pili, Chadema lazima wakiri kosa, waombe radhi na kusonga mbele!.

Kitendo cha kususia mjadala kwa siku ya kwanza na kutoka nje, was the right move kuonyesha protest dhidi ya unyanyasaji wa Mhe. Spika, lakini kuisusa hoja jumla, was a mistake hivyo sheria imetungwa bila imput yao, hivyo hili ni kosa la tatu, Chadema wakiri kosa, waombe radhi na kusonga mbele!.

Nimebahatika kuhudhuria mdahalo wa Star TV kuhusu Tanzania tuitakayo ambapo Mhe. Tindu Lissu ilikuwa ni mdahiliwa, na nilipata fursa ya kuuliza swali kuhusu kanuni ya 86 lililokuwa na vipengele a, b na c
(a) Kanini hawakitumia kanuni ya 86 kuuzuia muswada usisomwe?.
(b) Kwanini waliwasilisha hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani yaliyotoa passport mjadala uendelee badala ya kuwasilisha pingamizi ambayo ingeusimamisha mjadala?.
(c) Chadema wamesusa sheria imepitishwa, jee wamefaidika na nini na kususa kwao?.

Mhe. Lissu amepiga chenga kutoa majibu ya kina kwa kujibu
(a). Amenisomea hitimisho la hotuba yake. Kanuni ya 86 ilimtaka Mhe. Lissu awasilishe pingamizi na sio hotuba!.
(b) Amepiga chenga kueleza ni kwanini amewasilisha hotuba badala ya pingamizi!.
(c) Wananchi wanaelewa ni nani mtetezi wao wa ukweli.

Kwa vile sheria imepitishwa na itasainiwa na rais kwa mbwembwe, lazima Chadema na wapenzi wao na mashabiki wao waukubali ukweli mchungu kuwa they lost the bettle hivyo watake wasitake, lazima wakubali matokeo. Hawawezi kuendelea kususa, lazima wajisibmit kwenye tume ya kuratibu maoni na kutoa maoni yao hata kama tume hiyo itaundwa bila imput yao na bila ridhaa yao!.

Yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo (Tume ya kukusanya maoni) na yajayo (Katiba Mpya).

Namalizia kwa kusisitiza, kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa!. Chadema kwenye uundwaji tume mmefanya kosa!. Sheria imetungwa na sasa sio kosa tena, kosa ni kurudia kosa kama hamtoa maoni yenu kwenye tume!. Two wrongs don't make right, better late than never!.

2015 sio mbali kihivyo!.


Wanabodi, naendelea ku take stock ya makosa mbalimbali ambayo Chadema iliwahi kuyafanya, hili mo moja ya kosa kubwa sana la Mwanasheria nguli wa Chadema, hapa aliwaingiza chaka!, lile pingamizi la juzi, aliwaingiza tena chaka!, kesi ya ile video, Chadema imeingizwa chaka!, na kesi ya msingi, Chadema itaingizwa tena chaka, this time itaingizwa chaka big time!.
Pasco.
 
Wajemeni, hiki kinachoendelea sasa katika mchakato huu wa katiba, ni matokeo ya kosa hili, nililisema, japo nilipuuzwa sasa we are paying the price, little by little!.

Pasco.

Hili limesemwa na wengine na limesemwa vizuri na Prof. Shivji kwamba Bunge la Katiba lina madaraka ya kuweza kufutilia mbali rasimu ya Katiba ya Tume ya Warioba ambayo kimsingi ni mahali pa kuanzia tu siyo mwisho. Kuna watu wanasema ati Bunge liko kwa ajili ya Kuboresha sijui wamepata wapi mawazo hayo; hayako kwenye sheria ya Katiba Mpya! Sheria ile - ambayo wengine tuliikosoa toka mwanzo - imelipa Bunge uwezo wa kufutia, kuongeza na hata kubadili rasimu ya Katiba ambayo ililetwa kwao na TUme ya Katiba chini ya Jaji Warioba.

Kwa vile madaraka ya Tume hiyo yamekoma, chombo pekee chenye madaraka ya kuandaa rasimu ya Katiba ambayo italetwa kwa wananchi kuulizwa ni Bunge la Katiba. Bunge la Katiba halitaleta rasimu ya Jaji Warioba bali rasimu yao ambayo wameiandaa kutokana na rasimu ya Warioba. Kama wajumbe wengi wanakubaliana na rasimu ya Warioba basi kitakacholetwa kwa wananchi kitafanana sana na ile; lakini kinyume chake ni kuwa Watanzania wanaweza kupigia kura rasimu ya Katiba tofauti.

Well.. habari ndiyo hiyo...
Mzee Mwanakijiji, kwanza asante kwa hii!. Naomba nikiri sasa nimeanza tena kumuona Mzee Mwakijiji yulee niliyemfahamu wakati nilipojiunga JF!, yule Mzee Mwanakijiji wa KLH News!, Mzee Mwakijiji wa "Cheche za Fikra!", ndio huyu Mwanakijiji wa leo!, ambaye amekuja na ukweli halisi as it is, not as it ought to be!, no matter ni mchungu kiasi gani kumeza, kilichopakuliwa ndicho hiki, watu wameze, wateme ni shauri yao ukweli huu ndio utasimama!.

Nilipo waambia , [h=3]Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele![/h]ulinibeza sana humu! sasa unaelekea kuukubali ukweli huu mchungu!, na maandalizi ya kuukubali ule ukweli wangu mwingine mchungu kabisa kuwa 2015 ni CCM tena!, utafuatia!. Uzuri wa ukweli, huwa unasimama no matter what!.

Namalizia kwa ule ule msisitizo wangu kwenye ile mada tuliyobishana sana na Mkuu Mzee Mwanakijiji, kuwa "Japo Watanzania walitaka "Katiba Bora!", lakini kitakachopatikana kwa mchakato huu ni "Bora Katiba!" nikasema "maji ukiisha yavulia nguo!", kwa misingi ya "if you can't get what you want (Katiba Bora", then take what you get "Bora Katiba" kwa msingi wa na "moja shika sii kumi nenda rudi!", kuliko kukosa yote tukarudia katiba ya zamani, nikawasisitiza watu humu, tukubali matokeo na kwenye kura ya maoni, tuipigie kura ya ndio hii Katiba Mypa!.

Pasco.
 
Wanabodi,

Kanuni ya Kuu ya Kwanza kwa mwanahabari yoyote ni to tell nothing but
the truth. Naomba kuitumia kanuni hii kuwaambia Chadema, they were
wrong!, walikosea!, kwanza wakiri makosa, pili wakubali yaishe na mwisho
wasonge mbele, 2015 sio mbali kihivyo!.

Mchelea mwana kulia, hulia yeye, japo binafsi sio mshabiki wa chama
chochote cha siasa bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya
bunge, hivyo wapenzi wote wa dhati wa demokrasia, lazima waikubali
Chadema kama ndicho chama pekee cha upinzani Tanzania bara
kilichoonyesha nuru ya matumaini ya uwezekano wa kupatikana kwa
demokrasia ya kweli ndani ya bunge na labda hata ukombozi wa pili wa
Mtanzania baada ya uhuru na miaka 50 ya utumwa wa chama kimoja kuhodhi
madaraka yote ya dola.

Wengi wa wapenzi wa demokrasia wanaishabikia mno Chadema wakichelea
kuiambia ukweli kuwa watalia, mimi nachelea mashabiki na wapenzi wao
kulia mwaka 2015, hivyo nawaambia ukweli ili hata kama mtalia, lakini
itakumbukwa mliambiwa!.

Suala la kususia jumla mchakato wa kuunda tume ya kukusanya maoni kuunda
katiba mpya ni kosa kwa sababu Chadema kama kiongozi wa Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni, ilikuwa na uwezo wa kuusimamisha na kuzuia
uwasilishwaji kwa mara ya pili huo muswada kwa kutumia kanuni ya kifungu
86 hivyo kutoa fursa ya hoja ya kuzuia uwasilishwaji huo kusikilizwa,
lakini Chadema haikufanya hivyo.

Hakuna ubishi kuhusu uwezo wa wabunge wa Chadema katika umakini, kitendo
cha oversight ya opportunies provided by kifungu cha 86 cha kanuni za
bunge kuuzuia huo muswada, sio tuu ni udhaifu mkubwa, but kosa kubwa
ambalo Chadema lazima wakiri, waombe radhi na kusonga mbele.

Kanuni hiyo ya 86 inaeleza wazi hatua kwa hatua za kufuatwa ili kuuzuia
muswada usisomwe kwa mara ya pili. Chadema ilipuuza na kuendelea
kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani.

Kama Chadema ingezingatia kanuni hiyo, isinge wasilisha maoni ya kambi
ya upinzani bali ingewasilisha pingamizi!.

Kitendo cha Mhe. Lissu kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani,
yamemaanisha wameijibu hoja ya serikali hivyo kutoa go ahead majadiliano
yaendelee. Uwasilishwaji wa hotuba hiyo ndio passport ya mjadala
kuendelea, kama kambi ya upinzani wasingewasilisha maoni yao, muswada
ungesitishwa kwanza na wao kusikilizwa. Hivyo iwasilishwaji wa hotuba
ile ni kosa la pili, Chadema lazima wakiri kosa, waombe radhi na kusonga
mbele!.

Kitendo cha kususia mjadala kwa siku ya kwanza na kutoka nje, was the
right move kuonyesha protest dhidi ya unyanyasaji wa Mhe. Spika, lakini
kuisusa hoja jumla, was a mistake hivyo sheria imetungwa bila imput yao,
hivyo hili ni kosa la tatu, Chadema wakiri kosa, waombe radhi na
kusonga mbele!.

Nimebahatika kuhudhuria mdahalo wa Star TV kuhusu Tanzania tuitakayo
ambapo Mhe. Tindu Lissu ilikuwa ni mdahiliwa, na nilipata fursa ya
kuuliza swali kuhusu kanuni ya 86 lililokuwa na vipengele a, b na c
(a) Kanini hawakitumia kanuni ya 86 kuuzuia muswada usisomwe?.
(b) Kwanini waliwasilisha hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani yaliyotoa
passport mjadala uendelee badala ya kuwasilisha pingamizi ambayo
ingeusimamisha mjadala?.
(c) Chadema wamesusa sheria imepitishwa, jee wamefaidika na nini na
kususa kwao?.

Mhe. Lissu amepiga chenga kutoa majibu ya kina kwa kujibu
(a). Amenisomea hitimisho la hotuba yake. Kanuni ya 86 ilimtaka Mhe.
Lissu awasilishe pingamizi na sio hotuba!.
(b) Amepiga chenga kueleza ni kwanini amewasilisha hotuba badala ya
pingamizi!.
(c) Wananchi wanaelewa ni nani mtetezi wao wa ukweli.

Kwa vile sheria imepitishwa na itasainiwa na rais kwa mbwembwe, lazima
Chadema na wapenzi wao na mashabiki wao waukubali ukweli mchungu kuwa
they lost the bettle hivyo watake wasitake, lazima wakubali matokeo.
Hawawezi kuendelea kususa, lazima wajisibmit kwenye tume ya kuratibu
maoni na kutoa maoni yao hata kama tume hiyo itaundwa bila imput yao na
bila ridhaa yao!.

Yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo (Tume ya kukusanya maoni) na
yajayo (Katiba Mpya).

Namalizia kwa kusisitiza, kufanya kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa!.
Chadema kwenye uundwaji tume mmefanya kosa!. Sheria imetungwa na sasa
sio kosa tena, kosa ni kurudia kosa kama hamtoa maoni yenu kwenye tume!.
Two wrongs don't make right, better late than never!.

2015 sio mbali kihivyo!.

Wasalaam
Pasco (wa jf).

Update 1.

Update-2.

Update-3.

Update-4

Update-5.
[h=2]
icon1.png

Pasco was right on
CHADEMA..[/h]


kweli JF ni kisima cha elimu. nimekukubali MKUU PASCO!
 
Back
Top Bottom