Pre GE2025 Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe

Pre GE2025 Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Umri na jinsia yako tafadhali
 
Nchi nzima wakuu wa wilaya wamelala
Waku wa mikoa wamelala isipokuwa makonda.

Mawaziri wamelala
Ded wamelala
Makatibu wakuu wamela
Huyu bibi ni Jipu.
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Kwahiyo nchi haina dira ya maendeleo, bali cheo cha urasi ni sehemu ya rais kutekeleza mapenzi yake?!
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Sawa Ndugu Chawa Promax..!
 
W
Mmeanza ujinga wenu kama wa mwendazake..
Alitaka atawale milele akaishia kufa mapema tu..
Anzeni tu kumchulia huyu
Waambie ukweli Hawa mapimbi!
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Wewe ni kenge kabisa, unaandika kumuzesha!
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
-Nchi Haina umeme wa uhakika
-Mafuta yanapanda Kila j,5
-Bandari imepandisha ghara za mizigo
Ni kipi kimepaisha uchumi?

Tupe hayo maono aliyonayo huyo raisi ya kupaisha huo uchumi
 
Hoja mabadilko ya Katiba Kwa maslahi mapana ya Watanzania
Unapigia chapuo hayo mabadiliko ya Katiba kwa maslahi mapana ya Watanzania, au nyinyi watu wachache mnaofaidika kupitia ufisadi, upigaji dili na uchawa?

Kuna Mtanzania gani mwenye akili timamu anaweza kuufurahia huu utawala ulioshindwa kupambana na mfumuko wa bei! Mafuta ya petroli na dizeli kutoka 1500 mpaka 3300+!!! Halafu kila siku mnasingizia vita vya Urusi na Ukraine!!
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema

Mada nzuri, ila subiri akitokea Nyerere au Magufuli mwingine ndo ulete hii mada.
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Kwanza utuambie unafikiria kwa kutumia kiungo gani, mana hilo andiko lako linaashiria hutumii ubongo.
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Kwamba watu milioni 60 tunategemea maono ya mtu mmoja tu? Hatuwezi kuwa na dira ya taifa itakayofuatwa/kutekelezwa na kila kiongozi?
 
Mmeanza ujinga wenu kama wa mwendazake..
Alitaka atawale milele akaishia kufa mapema tu..
Anzeni tu kumchulia huyu mama...
Wewe ni mjinga kwa sababu ukiambiwa utoe evidence ya unayoyasema huwezi
 
Sasa huyo Jiwe si alikuwa anaiba pesa za wananchi na kujinufaisha yeye. Mara mia huyu kuliko yule japo simkubali baada ya kuona na yeye anajinasibu na Bashite
Weka evidence kama Magufuli aliiba pesa kama huna utakuwa sawa na mtu asiyekuwa na akili anayejiongelesha tu.
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Pamoja na kwamba nimeshagundua uwezo wako wa akili ni mdogo lakini nikuulizie tu
Maana Nyie ndo mnataka kututenfezea madikteta kwa njaa zenu mkidhani mtabaki salama


Rais Yuko kutimiza maono yake au ya nchi taifa na wananchi ?
 
Weka evidence kama Magufuli aliiba pesa kama huna utakuwa sawa na mtu asiyekuwa na akili anayejiongelesha tu.
Ile 1.5 tr kutoka ukaguzi wa CAG iko wapi? Je wewe wajua iliko maana CAG alifufukwa kazi
 
Kama ana maona ya kijinga na utendaji wa hovyo tumvumilie kwa miaka Saba?
 
Chadema waliondoa ukomo wa mihura miwili kwenye katiba, wakawa na mwenyekiti wa chama wa milele; kwani mwenyekiti wao amekipaisha chama kwenda wapi sasa?
 
Sasa huyo Jiwe si alikuwa anaiba pesa za wananchi na kujinufaisha yeye. Mara mia huyu kuliko yule japo simkubali baada ya kuona na yeye anajinasibu na Bashite
MAGU aliiba kujinufaisha Kwa kujenga jnhpp,daraja la jpm busisi na tanzanite, sgr na mambo mengi yanayo onekana Kwa macho,Hawa waliopo Hawa ibi Wala hawajengi na unawaprefer Hawa kuliko mwizi jpm,hongera sana MUNGU akupe hata akili kidogo.
 
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe


Wadau hamjamboni nyote?

Nawaslisha maoni yangu nikizingatia haki yangu ya kikatiba na maslahi mapana ya taifa letu tukufu la Tanzania

Upo ulazima wa kubadili katiba yetu na kuondoa ukomo wa Rais kuhudumu & kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya miaka 5 ya sasa

Muda uliopo kikatiba hautoshi kabisa kumuwezesha Rais aliyepo madarakani kutimiza kikamilifu maono yake na hivyo itakuwa vigumu sana kupiga hatua kimaendeleo

Uzoefu unaonyesha Viongozi waliopewa muda wa kutosha kikatiba walifanikiwa pakubwa kuziletea nchi zao maendeleo ya kiuchumi

Mfano mzuri

Angela Dorothea Merkel aliyezaliwa 17 Julai 1954 na kuhudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 26 kuanzia 2005 to 2021.

Helmut Josef Michael Kohl aliyezaliwa tarehe 3 April 1930 na kufariki Tarehe 16 June 2017 alihudumu akiwa Chancellor wa Ujerumani kwa miaka 17 kuanzia 1982 to 1998.

Viongozi wote hao waliiletea Ujerumani mafanikio makubwa sana kiuchumi na hii ni kutokana na Katiba ya nchi hiyo kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo.

Ukitazama Katiba za nchi kubwa kidemokrasia na kiuchumi hazina ukomo Kwa mfano Uingereza , Israel, Ubelgiji, Italy, Uholanzi n.k

Ni wakati muafaka muswada upelekwe bungeni kuongeza muda wa awamu moja kuwa miaka 7 badala ya 5 na kuondoa ukomo wa kuhudumu kwenye nafasi hiyo

Niwatakie ijumaa njema
Kwa nini ibadililishwe, shauri "IFUTWE" afie madarakani kama KENYATA.
 
Back
Top Bottom